Recent content by Kiendi

  1. Kiendi

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kusafirisha mzigo kwa treni

    Kikubwa nenda stesheni utapata maelekezo vizuri ila ni rahisi sana na salama
  2. Kiendi

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kusafirisha mzigo kwa treni

    Me niliwahi kuhama kikazi kutoka Tabora kwenda Mwanza nilipiga hesabu kusafirisha kwa gari ikawa gharama kubwa amost 1M ila nilipakia vitu nikapeleka stesheni wakapima uzito nililipa 57,000 manake wanalipisha kwa kila wala hawana complication
  3. Kiendi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Mwenye link ya hicho kitabu "The Book of Gold" au mwenye pdf anitumie nikijaribu kudownload inaniletea vingi tofauti tofauti
  4. Kiendi

    Anayekijua hiki chuo Dar es salaam police academy

    Police College https://maps.app.goo.gl/BwFb6DmeDa7nNADB8 Hyo hapo
  5. Kiendi

    Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

    General Nkunda ana wasifu mzuri aliishawahi kuwa Brigade commander baada ya hapo akawa Land Force commander then ndo akawa na cheo alicho nacho kabla ya cheo kipya cha CDF
  6. Kiendi

    Je, mwenye mwanya au pengo haruhusiwi kujiunga na jeshi?

    UFAFANUZI: Mwanya haukuzuii kuingia keshini ila ukiwa na pengo hauruhusiwi kama kuna swali lolote uliza na PM unaruhusiwa pia kuja
  7. Kiendi

    Je, mwenye mwanya au pengo haruhusiwi kujiunga na jeshi?

    Ilikuwa usahili wa jeshi au Jkt?
Back
Top Bottom