Marekani ni wajanja wao nia yao ilikuwa kumuua huyo quoseem na walifanikiwa hivyo hawana sababu na vita tena kwani lengo lao lilishatimia
Sent using Jamii Forums mobile app
Don Clericuzio,
Kwa nini wamasai na wajaruo hawaitwi kuwa ni wakenya na lugha ni moja?kwa nini iwe kwa waha na wahangaza pekee yao tu acheni ubaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama.hakuna ubaya nenda kanakili yale yote aliyoandika nawewe uandike mwisho uweke jina lako na sahihi umalizie na namba ya simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo wakatoliki sadaka zao unapeleka mwenyewe mbele ya altare hakuna utaratibu wa kukuletea chombo cha sadaka ulipo sisi unatoa kwa hiari yako lile ni kanisa tajiri siyo masikini wa kubembeleza sadaka yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kila aliyeko mahabusu mama yake aombe msamaha kwa Rais ndivyo sheria zilivyo hata Rais hasamehi walioko mahabusu bali wafungwa na sio mama zao wanaomuomba Rais awasamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.