Hivi haya madudu yametokea kipindi cha Bade au yalikuwepo tangu zaman? Kosa la Rished ni lipi naomba kujuzwa maana kwa mujibu wa maelezo yake ni kama alishaanza kuchukua hatua?
Watu kama nyie ndo mnatakiwa wakiwepo wabunifu wengi zaidi na serikali pia ikawapa support ili muuze nje, nchii itapiga hatua.
Mwanzo mzuri hata kampuni kubwa kama H&M / ZARA walianzia huku.Kikubwa fanya marketing yakutosha.
Sheria zipo na nadhani kutakuwa na utaratibu mzuri tu, mbona sector binafsi hakuna hizo ajira za kudumu na watu hawafukuzwi ovyo!. Jaman changes haziji hivihivi tunatakiwa kufanya kazi tu hamna muujiza wa maendeleo km si kujituma.
Hii itawafanya watu wasibweteke kama ilivyozoeleka mtu haendi...
Kingu alifukuzwa sababu ya ubadhirifu wa pesa za wananchi alishirikiana na mkurugenzi na baadhi ya maofisa wa halmashauri kutafuna pesa za fidia za mradi wa umeme zaidi ya mil. 500, zilizotolewa na wafadhili.
Sasa ikabidi serikali kuingia hasara ya mamilion ya pesa na kuchota pesa hazina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.