kuna wale walifukuzwa bungeni miaka ya 60 kwa kubisha hoja za serikali waziwazi.. Nimewasahau ila walikuwa argumentative mbaya sana! Marxism wa ukweli. Mwenye kukumbuka majina awataje tafadhali!
And the rumble beging! Hureee.. I was eargerly waiting for this juncture! Unajua nilikua nataka kushangaa mbona hawaanzi?! Kumbe muda upo bana na ndio taraatibu game on.. Tusishangilie, this time it is more tense and deadly lethal!
well said milya! I am a non-partisan chap! Bt hata akitoka ccm awe na sifa hzo in ahandred percent efficiency! It is a high time nw we start discussing about what we want and not who we want!
Mi kuna mmoja tulionana mara moja tena kwa dk chache mno! ilikua sikua ya ijumaa... Hee mara j3 huyu anaomba laki!!!! i was stunned kwasababu she weakened herself to me mpaka nikakereka maana hawa watu sio vilema jamani mbona wanajiletea mabalaa!! Sasa nikashindwa cha kufanya maana nilishajua...
Sasa Mgaya.com nikuulize swali rahisi tu, hao wakichaga usingewafahamu nani angekua takataka?? halafu kama wao ni takataka iko wapi yakwako safi?? Naona unachana tu halafu unatuacha hewani as if wewe ni mhindi sijui?!!!
Unajua ninavyoendelea kuisoma hii thread natambua kitu kwamba yoote haya ya mapenzi na ndoa kwa wachaga ni propoganda tu ILA kuna yaliyojificha ndani yake! ambayo kwa haraka haraka nafikiria ikawa ni kwasababu wachaga wamekua wanatajwa kuwa juu mambo mengi!!! Ni mtizamo tu... endeleeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.