Kwanini ifutwe wakati ni ukweli.? Mbona alipo sema riz hukutoa tamko kwamba anagawa nchi??. Ref tamko lilitolewa kwenye kikao cha UVCCM kwa mara ya kwanza na amerudia tena, hakuna aliyekemea. Je ndio msimamo wa CCM?. Swali lipo clear. Hakuna uchochezi hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.