Sijui wananchi wa Mpinji Magoe wamewakosea nini serikali ya CCM? barabara kwa ubaya inashika namba moja mkoa wa DSM, HALI NI YA HATARI SANA!!!!!! Kwa mguu , kwa gari , baiskeli, bajaj na bobaboda hali ni mbaya sana !!! sina hakika ila nasikia ndiyo bara bara pekee kwa dsm ina wanufaisha wakubwa...
mr Saguya yupo sahihi kabisa na binasfi naunga mkono hayo maamuzi ya kukodisha hiyo sehemu maana palikuwa tishio kwa USALAMA!!!!! ILA HILI LA KUSEMA ENEO LINAMILIKIWA KAMBUNI YA DUBAI SIJAELEWA KABISA !!!!! maana najua eneo lote la Tanganyika Packers hayati Magufuli aliwapa NHC , Sasa hiyo...
Hiyo namba 3 sahihi kabisa yaani pale kuna MAMIRIJA ya size zote tena mengi mno, ndiyo mimi kusema kama TISS wangekuwa wanafanya kazi yao japo hata kwa 40% maelezo yako namba 4 yangetimia walai!!!!!!!
sasa kitengo kinasimamiwa na lumumba??? TISS JAMANI MJISAHIHISHE.
Anyway vijana wa Arusha na Moshi pia na wazee ( Wake kwa Waume) wana nidhamu sana ya pesa kwenye matumizi na kwenye kuitafuta, Mfano; huwezi kukuta kijana wa kichaga ana hoga mwanamke kumpa zaidi ya elfu 50 tena kwa tabu sana, au huwezi kukuta mwanamke wa kichaga ana hoga mwanamume eti akamlale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.