SIYO MCHEZO !!!!! MWISHO WAUZAJI NA WATUMIAJI UNGA (COICANE) UNAKUWAGA MBAYA SANA SIKU ZOTE!!! KAMA MUUZAJI ALIYE DUMU 10YRS NAOMBA JINA HAPA!!! ila biashara nzuri ha ha ha aha
sawa lakini siyo sahihi unaweza kufanya nyumba iwe ndefu na madirisha makubwa kwhaiyo mzunguko wa hewa ukawa poa kabisa , pia siku hizi mamikanda ni old fashion ni mwendo wa plan tu. bytheway mie siku nashauri FLAT ROOFING .
ISSUE HAPA NYIE MA GENIUS MOSTLY MA ENGINEER HAMNAGA UANGALIZI KABISA !!! KUPELEKEA KUTOKUWA NA TIJA KWA TAIFA NA FAMILIA ZETU ILA HAPA LAWAMA NI KWA SERIKALI !!! MWISHO WA SIKU MNAKUWA WALEVI KUPINDUKIA NA MAMBO MENGI YA HOVYO KWENYE JAMII!!! AT LEAST WANGEKUWA NA WANGALIZI KAMA WANAJESHI...
DAAH GENIUS ALIKUWA MTATA SIYO?? UJUE NCHI ZA ULAYA MA GENIUS WANAKUWA CHINI YA WANGALIZI KUBWA SANA !! SASA TANZANIA AU AFRIKA WANAKUWA HURU SANA MPKA KUKOSA NIDHAMU KABISA KUPELEKEA KUWA WALEVI , MALAYA NK . MWISHO WA SIKU TUNAWAPOTEZA FOR GOOD!!!
Daaah yaani mpaka Masheikh wanawatolea mifano kwenye ibada kama kina firauni!??? ila binasfi hayo mambo yote ya kijambazi naamini kuna USHIRIKA MKUBWA SANA na baadhi ya polisi wasio waadilifu. polisi mtandao. sasa oikitokea otherwise ndiyo utasikia jambazi au polisi kauwawa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.