Recent content by kidodosi

  1. K

    Kikwete: Lowassa ameacha alama zitakazokumbukwa daima

    HAMNA LOLOTE !!!!!! ACHA UPOTOSHAJI MR Troiker.
  2. K

    Anaandika Baba Askofu Bagonza kuhusu Edward Lowassa

    pumzika kwa AMANI MR LOWASSA
  3. K

    DOKEZO Barabara ya Mbezi Luis kwenda Mpigi Magoe ni mbovu sana, Wananchi tunateseka jamani

    Sijui wananchi wa Mpinji Magoe wamewakosea nini serikali ya CCM? barabara kwa ubaya inashika namba moja mkoa wa DSM, HALI NI YA HATARI SANA!!!!!! Kwa mguu , kwa gari , baiskeli, bajaj na bobaboda hali ni mbaya sana !!! sina hakika ila nasikia ndiyo bara bara pekee kwa dsm ina wanufaisha wakubwa...
  4. K

    Hivi kijana unakaaje mjini halafu unakosa vitu hivi?

    Mie katika orodha sina hati ya kusafiria tu , jumatatu naenda UHAMIAJI. Aksante kwa kunikumbusha.
  5. K

    Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

    Daaah hizi ndiyo vurugu sasa, MJISAHIHISHE Acha porojo!!
  6. K

    Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

    Yeah umeeleza vizuri kabisa, sasa ndgu zetu wa KKKT MJISAHIHISHE!!!
  7. K

    Waziri adaiwa kumwaga noti kununua Kawe beach, NHC yasema haijauzwa ni mali yake na kampuni ya Dubai

    mr Saguya yupo sahihi kabisa na binasfi naunga mkono hayo maamuzi ya kukodisha hiyo sehemu maana palikuwa tishio kwa USALAMA!!!!! ILA HILI LA KUSEMA ENEO LINAMILIKIWA KAMBUNI YA DUBAI SIJAELEWA KABISA !!!!! maana najua eneo lote la Tanganyika Packers hayati Magufuli aliwapa NHC , Sasa hiyo...
  8. K

    Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

    Hiyo namba 3 sahihi kabisa yaani pale kuna MAMIRIJA ya size zote tena mengi mno, ndiyo mimi kusema kama TISS wangekuwa wanafanya kazi yao japo hata kwa 40% maelezo yako namba 4 yangetimia walai!!!!!!! sasa kitengo kinasimamiwa na lumumba??? TISS JAMANI MJISAHIHISHE.
  9. K

    Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

    We unadhani kuwekwa rumande mchezo? Ni mateso makubwa.
  10. K

    Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

    Eti wanamsubiria kwa hamu kwenye SPACE:D kwamba ateme cheche bado zikiwa za moto moto kutoka rumande.
  11. K

    Matajiri, Watoto wa Mjini, Wababe na Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha

    Anyway vijana wa Arusha na Moshi pia na wazee ( Wake kwa Waume) wana nidhamu sana ya pesa kwenye matumizi na kwenye kuitafuta, Mfano; huwezi kukuta kijana wa kichaga ana hoga mwanamke kumpa zaidi ya elfu 50 tena kwa tabu sana, au huwezi kukuta mwanamke wa kichaga ana hoga mwanamume eti akamlale...
  12. K

    Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

    Tena vijana wa sasa hivi ndiyo wanatanua na mali za urithi sasa watoto wao sijui itakuwa je siku za usoni? MJISAHIHISHE HAMJACHELEWA!!!!!!
  13. K

    Rafiki yangu anakaa kwao, analalamika pilipili inawekwa mpaka kwenye ugali

    Kama nao wanakula basi hauna budi acha kulia lia JITAFUTE TU!!!! Hata kama hawali jitafute sa well.
Back
Top Bottom