Recent content by kidochi og

  1. kidochi og

    Producer S2KIZZY avamiwa kwenye studio yake

    Mambo ya correct type babu sio Mimi🤣
  2. kidochi og

    Producer S2KIZZY avamiwa kwenye studio yake

    Tupo njia moja ameshindwa vp kuonyesha hivyo vifaa vilivyoharibiwa otherwise sijasikia taarifa yoyote tamko la polisi
  3. kidochi og

    Producer S2KIZZY avamiwa kwenye studio yake

    Producer wa muziki s2kizzy ametoa taarifa kupitia ukulasa wake wa Instagram kuwa usiku wa kuamkia Leo amevamuwa na Hawa wanaoijiita ulinzi shirikishi na kufanyiwa fujo kwenye studio yake ikiwa pamoja na kuvunjiwa vifaa vyote vya studio.. Anaendelea .. tumevamiwa tumepigwa kuteswa Sana anadai...
  4. kidochi og

    Wako wapi hawa mastaa waliotikisa sana ulimwengu wa muziki

    Kelly Rowland Ali hit kwenye ngoma ya Nelly
  5. kidochi og

    Clouds na EATV muwe mnawapanga wasanii kabla ya kuwafanyia interview, wanawaaibisha!

    Jina la mond linafahamika kimataifa. Sidhani kama Kuna msanii nje ya nchi ataacha kumtaja Simba. Maana kibamia hata Malawi tu hawamfaham
  6. kidochi og

    Jukwaa la Celebrity kwa sasa limevurugwa na watu hawa

    Mimi nilichogundua lengo la mtoa bango Ni kutaka tujue yeye ni r. Presenter sawa Pancho tumeshakujua Sana. Lakini mond ni Kama maji usipoyanywa utayaoga tu
  7. kidochi og

    Msanii Marioo ataka kujinyonga kisa Mimi Mars

    Meneja wa msanii Mario amethibitisha Hilo aliokuwa akihojiwa na Millard Ayo. Amesema msanii wake huyo alitaka kuchukua uamuzi huo baada ya kuona mpenzi wake ambae pia ni msanii wa bongo fleva anaejulikana kwa jina la Mimi Mars kudaiwa kutoka ki mapenzi na msanii Diamond Platnumz Chanzo cha...
  8. kidochi og

    Amber Rutty na Mumewe Wahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5 Au Kulipa Faini Kwa Kosa la Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile

    Bado nashakana hakimu maaana kama kapunguza kutoka 30 to 5 it's means naye alionjeshwa na amberruty. Ila hao wameshazoea kupekenyuliwa tope hawatokaa waache labda wafe tu maana huko jera. Manyapala watakuwa wanafukua tope daily
  9. kidochi og

    Mdogo wa mke wangu kamleta mwanaye kuishi kwangu ila sipo tayari kubeba lawama baadaye. Nifanye nini kuepuka hili?

    Kwa jinsi lugha yako ya kihuni sidhani kama una familia wewe otherwise wewe ni dogo una wivu na hao ndugu zako kuja hapo nyumbani anyway ongea na mshua mwambie mimi sipendi tuwe wengi hapa home
  10. kidochi og

    Diamond Platnumz kawapeleka wafanyakazi wake Wasafi Village baada ya kufungiwa kwa siku 7

    Nzur hiyo wafanyakazi mbali na kuwaza ujinga hii uwafanya wajione wapo mahali salama kwa kazi
  11. kidochi og

    Hongera Joh Makini na Weusi kwa kutojishughulisha na kampeni

    Nyie badae ndio mnaanza utasikia msanii fulani kumbe hana hata gari. Kipi bora akuangalie wewe shabiki ambaye huzijui hata digital platform zake anakouza nyimbo. Shout out kwa wasanii ambao wanafanya kazi waingize kipato
  12. kidochi og

    Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

    Hiyo ya Ibra yenye 7.7 Ina muda gani ukilinganisha na ya zuchu 7.0 Zuchu ni brandly artist hata magu ana mjua
  13. kidochi og

    Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

    Sawa mbona mwenzake rayvanny ametulia tu. Kwanza angejipima ki uwezo suala la label linahitaji watu wengi. Pale wasafi kuna timu ambayo kabla ya nyimbo kuachiwa wana ipima kwanza. Kumbuka harmo kipindi yupo wcb ngoma yake nishapona ilizuiliwa akaiongeza manjonjo ndio ikakubaliwa nishachoka...
  14. kidochi og

    Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

    Ruge alikuwa anawapa jeuri sana ma prisenter wake kwa jasho la wasanii. Tulimuona Adam mchomvu kwenye hivi ni kweli ya wasafi. Diva loveness alivimbishwa sana bichwa kiasi kujiona yeye ni mkubwa kushisnda mond. Soon ataomba poo maana clouds wanapoteana now
  15. kidochi og

    Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

    Nadhani wewe ni mmoja wapo unaemfuatilia mond sana die fans wa mond sema unajikaza tu
Back
Top Bottom