Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,039
Kijana ndiyo umeamua kututusi?Hizo ni kenge
Kijana ndiyo umeamua kututusi?Hizo ni kenge
Celebrity sio wanamuziki tuuMwanzo jukwaa hili lilikuwa lina vitu vitamu vinavyohusu ma celebrity wetu na muziki wao kiujumla huku wanajamvi wakigusia pande zote kuhusu muziki wetu na lilinoga sana.
Ila majuzi hapa jamvini wamekuja chawa rundo humu ndani na kuharibu jukwaa kwa nyuzi za kichawa chawa ,ushabiki maandazi huku wakigeuza jukwaa kuwa Instagram ya umbea umbea. Na uteam bila wao kulipwa hata mia
Wakitoa nyuzi za kukatisha tamaa wasanii wengine wakienda mbali na kuingilia maisha yao binafsi na kuyakejeli. Yaani ukiingia jukwaa hili ni wao wanataka umtaje na kumsifia msanii mmoja tu yaani Diamond Platinumz.
Kwa mtindo huu tutasogeza mziki wetu mbele vipi? Maana hata Diamond mwenyewe anajitahid kuusogeza muziki mbele ila chawa wake ndo mnamuangusha.
Badilikeni tuongelee muziki wa wasanii na sio kupambanisha wasanii.
HahahahhahahhaKijana ndiyo umeamua kututusi?
Haya basi mkuu, nimekubali kuwa una miliki media hapa tz 😂Bro kumbe bado tu Yale ya siku ile yalikuchomaa hahaha
Hizi ni I'd tu hapa zinaficha mengi sana.
Haya sio maisha yangu maana naona unaanza kugusa maisha yangu binafsi
Mbona Mimi sijakugsa yako?
Yaani kumbe bado una makasiriko na Mimi
Hahhahah watu tuna familia kabisa ila hapa tuna act tu kazi yangu ndo hiyo na inanilipa am smart enough ndo maana wameniamini
Hujaelewa na labda tu niambie hiyo team yangu unayosema ni IPI?
Ungejua kazi yangu wala usingeniletea uchawa hapa ..
Mbona sasa wewe huwa unataka mawazo yako yafanane na kila mtu? Mtu akipinga unasema chuki..
Badilika dogo kuna maisha baada ya uchawa
JF has totally changed tena kuna huyu zagarinojo sikuizi kila muda ni kudondosha ma threads tu sijui anaona JF is for kids
Joanah kwahiyo unataka nimponde Sana Diamond ?Hii ni kweli
Sijui huyu innocent dependent ana jambo gani ni Diamond...huwezi kumkosoa akakuelewa,lazima aone ni chuki/wivu
Yeah ukimkosoa mtu unamjengaHapana usimponde lakini wanaomkosoa usichukulie kama chuki....Diamond ni binadamu kama binadamu wengine kuna mambo anakosea
Yeah ukimkosoa mtu unamjenga
Sema tatizo ni kwamba ma fans wa Mond na wasanii hawapendi msanii wao pendwa akosolewe wanafeel bad
Si ndio yaani ukimkosoa anasema unamchukia diamond..Hii ni kweli
Sijui huyu innocent dependent ana jambo gani ni Diamond...huwezi kumkosoa akakuelewa,lazima aone ni chuki/wivu
Atasema wewe ni haterHapana usimponde lakini wanaomkosoa usichukulie kama chuki....Diamond ni binadamu kama binadamu wengine kuna mambo anakosea
Unazingua dogo hahahaMimi nilichogundua lengo la mtoa bango Ni kutaka tujue yeye ni r. Presenter sawa Pancho tumeshakujua Sana. Lakini mond ni Kama maji usipoyanywa utayaoga tu
Kunichukia Mimi haisaidii nafanya kazi halali hebu sasa tugeukie kwako usikute upo chuo na unashindia mihogo hahahHaya basi mkuu, nimekubali kuwa una miliki media hapa tz 😂
Hata mimi ni fan wa Mond Ila huwa sipendi kumsifia hata pale anapokosea huwa namchanaKukosea ni sehemu ya binadamu
Atasema wewe ni hater
Subiri watakushambulia sana kwake inno diamond ni mkamilifu hajawahi kukosea ni Mungu wakeVyovyote vile atavyosema haina shida
Yeye Diamond ni nani asiambiwe bhana