Recent content by KIDEVU

  1. K

    CHADEMA imedumaa na wale wengine wamefubaa kabisa

    Ujinga ni kushindwa kuona na kutambua mazingira ya kisiasa ambayo wenye dola wmeyaweka/wamejiwekea ili kudhoofisha upinzani. Mikutano ya kisiasa wanafanya wao wakifanya wengine wanakamatwa,Live coverage ni kwa mtu mmoja tu hasa TBC wengine hata vyombo vya habari vinawaogopa sababu vyombo...
  2. K

    Taharuki CHADEMA: Mlinzi wa Mbowe akutwa amekufa katika mazingira ya kutatanisha akiwa Guest, jijini Dar

    Kumbe habari ipo kwenye hilo gazeti! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    Ukanda bado unakitafuna chama chetu CCM

    ushuzi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Opposition Power Woes Now Linked to MP Lissu’s Assassination Plot

    ushuzi grade 1. Ingekuwa ni CDM au Mbowe amefanya hivyo nina uhakika sasa hivi Dola ingeshawapata wahusika na kuwafikisha Mahakamani maana ingekuwa fursa ya kuimaliza CDM hususan Mbowe!
  5. K

    Je, ni sahihi ndugu Zitto Zuberi Kabwe kuwaita uhamiaji wapuuzi?

    Nilishaacha kumshangaa rafiki yangu aliyesema kuna vichaa wengi mitaani kuliko hospitalini
  6. K

    Ni suala la muda tu. Hili la Davis Mosha litaondoka na mtu

    nilidhani hajafurahishwa na walivyomwekea kitu mfukoni
  7. K

    Mh.Rais Magufuli unaanza "kutuangusha" tuliokuunga mkono na kukutetea mitandaoni, zingatia haya machache ili ututie moyo

    Wtz tunasikitisha sana. Inasikitisha zaidi uniona wasomi wanadhani Mtu anayeitwa Rais anaweza kufanikiwa kuendesha nchi kwa kuacha au kupuuza mifumo iliyopo! Nchi inaendeshwa kwa mifumo na inapokuwa na udhaifu tunapaswa kuiimarisha na kuweka check and balance. Hii ni kazi ya muda mrefu na...
  8. K

    Nina wasiwasi na weledi wa Dkt. Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango

    Mnamwonea Dkt. Mpango. Waziri wa Fedha sio yeye
  9. K

    Hivi ni wapi Rais Magufuli anakosea, mbona kila siku lawama zisizo na msingi?

    Ngoja tukusaidie. Hakuna anayesema kwamba hana mazuri. Mazuri yapo. Ila hayo mazuri yanafunikwa na uminywaji wa demokrasia na uvunjifu wa Katiba na mambo mengine ambayo walio objective wanayaona.
  10. K

    Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

    Lets assume upo sahihi. Kama ni hivyo Serikali q ambayo ndio ina vyombo vya usalama ichunguze na kuwafikisha Mahakamani.Serikali hizi zetu zikipata sababu kama hizo kwa upande wa upinzani itachukua hatua haraka sana.
  11. K

    Aibu kwa kijana uliepewa mkopo 100% na Serikali kuishambulia na kuizushia

    Kuongezea tu ni kwamba huo ni wajibu wa Serikali na sio hisani!
  12. K

    Pingamizi zito dhidi ya mgombea wa CHADEMA kutoka kwa mgombea wa CUF

    Tuna safari ndefu sana ya kimaendeleo kama baso tupo kwenye aina hii ya mapingamizi
Back
Top Bottom