Nitangulize shukrani kwa yeyote atakaechangia mawazo yake. naomba kwa yule mwenye uzoefu na biashara ya kuendesha kampuni ya usafi anisaidie kunipa muongozo wa uendeshaji na changamoto zake. Ahsante
Samahani kwa usumbufu kwa mwenye uelewa na hili mimi jina langu la kwenye vyeti na NIDA linatofautiana kidogo kwenye vyeti linasomeka ALY ABDALLAH KIDABI na kwenye nida inasomeka ALY ABDALAH KIDABI.
Je, inaweza kupelekea kukosa mkopo?
Je, nikiapa mahakamani kwenye kuomba mkopo kuna sehemu ya...
Wakati naommba vyuo mwaka 2023 niliomba vyuo vingi ikiwemo na IAA main campus Arusha ila nilipowaza kwa kina iwapo nikikosa mkopo na saport ya wazazi ni ndogo mno ikabidi wakati wa kukomfim nikomfim CUoM mbeya na sina mkopo nw mwaka wa pili naishi vzr no stress kaz za ufundi zinaniendeshea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.