Recent content by Kidatu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Marekani siyo mbinguni. Mafwele endelea kupiga kazi.
  2. K

    JamiiForums Tanzania False Alarm: EU Parliament Resolution Against Tanzania is Hoax

    Asante sana kwa taarifa hii na ufahamisho huu.
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Ni upumbavu mtupu. Hakuna la kutufanya. Tanzania ni nchi huru, hatuingiliwi mambo yetu ya ndani. Samia kanyaga twende Mama.
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, kulikuwa na Conspiracy to distract justice of the accused kati ya DPP na Hakimu Franco Kiswaga wa Kisutu Committal Court kesi ya uhaini wa Lissu?

    Sijui uko pande gani, lakini nenda Bar yoyote kachukue kinywaji utakacho nitalipa. Kama ni bia chukua crate 2 kabisa.
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ushauri: Rais Samia ajiuzulu Uenyekiti abakie Rais ili CCM ijisafishe na Mzee Kikwete asimamishwe uanachama kwa muda kupisha usafi

    Ni hekima ukalime mihogo kule milimani Kisaki, maana naona huna unachokielewa hapa.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hongereni sana viongozi wetu wa chama na serikali kwa kutoijibu haraka barua ya ndugu Polepole. Hii ni adhabu kubwa na ya kisayansi kwa Polepole

    Hawana uwezo wa kumjibu HH kwa maana kwamba HH kapiga kwenye mshono.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Askofu Gwajima: Ukivuliwa nguo, ukabaki utupu! Ustaarabu ni kuchutama!

    Pascal (AKA Msimila), sikubaliani na wewe kwamba Gwajima ameumbuka inabidi achutame. Bali Gwajima kawavua watu nguo na inabidi wachutame. Point yako ya kuliamsha dude nakubaliana na wewe kwamba ni hekima kutokufanya hivyo kwani damage aliyoifanya kwa hao watu tayari kubwa sana na inaweza...
  8. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ally Hapi: Vyombo vya dola shughulikieni wanaotaka kuzuia uchaguzi

    Upumbavu nao ni kipaji ndugu zangu.
  9. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

    Ludovick, ni wewe kweli umeleta hii maada?. Anyway, hoja hujibiwa kwa hoja, kwenye maada hii sioni hoja ya msingi uliyojenga hivyo naacha tu inipite hii maada yako.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

    Piga chini haraka, huyo hafai kuwa mke.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

    Usije kuoa mwanamke unayempenda sana, atakutesa na kukumaliza kiuchumi. Wanawake wakijua unampenda sana basi unakuwa umempa rungu la kukupondea. Atakupelekesha kama gari bovu. Huo ni uzoefu wangu.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

    Research yako uliifanyia wapi na lini mpaka ukaja na conclusion kwamba watu wengi wanauchukia ugali?.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

    Asante sana kwa hii Elimu mkuu, ubarikiwe sana
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ngorongoro: Kuelewa Uamuzi wa serikali

    Many of us we will be waiting.
Back
Top Bottom