Kwaresma ilianza kabla ya Ramadhani. Waislamu hapa Zanzibar walikuwa wanakula na kunywa hadharani wakati wa kewaresma hakuna aliyewasumbua. kwanini Ramadhani ndiyo iwe spesho?. Kufunga ni wewe usihusishe na wengine. Hao wanaojifanya watemi kuwapiga bakora wanaokula mchana kuna siku mtaingia cha...
Tanzania haina dini, ila watanzania wana dini zao. Huwezi kumlazimisha kila mtu afuaate masharti ya dini yako. Kama wewe umefunga na mimi sijafunga hilo siyo kosa na huwezi kunilazimisha kufunga. Jeshi la polisi litumike kwa vitu vya maana na wala si kwa upuuzi huo.
Huyo atakuumiza tena. Usikubali kurudisha urafiki na mtu aliyekuumiza kwenye pesa, mapenzi na character. Nyoka hujivua gamba la juu ya mwili wake ili awe mkubwa na mkali zaidi. Piga chini na kaa nae mbali. kwanini ujishushe kwa mtu mpuuzi kama huyo?
Mkuu, yalishawahi kunikuta, hivyo nina experience. Mke wangu alishawahi kuvunja kioo cha gari langu kwa kosa la kutopokea simu zake. Mara ya pili alivunja TV. Nilimshushia kipigo cha mbwa mwizi. Ameacha kabisa siku hizi.
Naona haikuwa sahihi. Kumuona Mbunge ili kumueleza kero ni ngumu sana. Na hata kufikisha kero kwa wasaidizi wa Mh Raisi wanaweza wasifikishe hizo kero kwa Raisi. Ingekuwa ni jambo la hekima kumsikiliza huyo mtu hapo Barabarani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.