Recent content by kidanha

  1. K

    Ushahidi Watz tuna IQ Ndogo!

    sawa lakini sample imeonekana kama watz wakawachagua watu kuwawakilisha wakawa wanafanya upuuzi kama wanaoufanya viongoz wetu IQ yetu inapimwa kwao kwasababu wao ndio wawakilishi wetu
  2. K

    Kashfa ya wizi wa BILIONI 400: Maoni ya Mh Zitto Kabwe

    jaman tusiongee ushabiki tujadili ukweli me naona zito ni mnafiki kama PM wetu ushahidi huu hapa PM wetu alilia alipoona report ya wanaoua albino bungeni na akaahid wakikamatwa wanyongwe mara wapewe adhab kali lakin walivyokamatwa alijifanya hajaskia habari yyte. Zitto kasema ana uchungu...
  3. K

    Iringa tunaitaka ACT,Tumechoshwa na siasa za fujo badala ya maendeleo

    leo uko ACT?? kweli bwana CCM wapigwe chini ACT lakin si chama chenu?? halafu kama Zitto yupo ACT siku atakayohutubia mara ya kwanza tumuulize majina ya waloficha pesa uswisi yakwapi?? au uhafidhina ndo unakua??
  4. K

    Iringa tunaitaka ACT,Tumechoshwa na siasa za fujo badala ya maendeleo

    Me nashangaa watu wanakipigia kampeni ACT na mtu anaandika tutakienzi yaan chama bado hakijasajiliwa utakienz duh huu ni upuuzi ulopitiliza. mnamchukia mchungaji msigwa kwa lipi au kwasababu ya upinzani wake?? msigwa si ndo alikuwa anawasaidia machinga kwahyo we ulikuwa unafurahia...
  5. K

    Ni kiongozi gani wa kisiasa ana hotuba kali za kumbadilisha mtu?

    hivi kuna mtu ameewah msikia mchungaj msigwa akitoa hoja bungeni?? au mnaonesha mahaba tu kwa watu muwapendao me naongea reality sikiliza vyombo kutoka kwa msigwa ana akili sana huyu jamaa na anafikira sana tafuta video zake YouTube msikilze ndio utajua nan anajenga hoja. hoja sio kupingana...
  6. K

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    duh ACT iwakomboe watz mbona hii kalie naamini vyama vinavyoweza kuwakomboa watz ni vyama vyenye jina adhim ya kiswahili ambayo ndo lugha ya muunganiko na ukombozi wa mtanzania mmetoa maneno sijui Afghanistan unakuja na chama kitakachotambulika nchi za nje kwa kuwa kina lugha ya kiingereza...
  7. K

    CHADEMA kupata pigo kubwa, Kupoteza Mbunge na Madiwani wengi kwa ACT Kigoma.

    hapa ndipo akili yako inapimwa na kuonekama we ni tahaira wa kutupwa chama hakijaanza hata kampeni unakipa sifa hvyo duh CCM ina taasis mpya sasa ni ACT utashangaa kuona wabunge wa CCM wakichukua kadi za ACT utashika kichwa
  8. K

    Bunge La Katiba; Kila Mbunge Ana Dakika Moja Na Nusu Tu Ya Kuongea Katika Siku 90..!

    nawewe unaongea nn hapa au umetumwa we laki 3 kwa siku unadai ndogo piga hesabu gharama za kuish dodoma then jarib kuangalia hao unaodai watapata hasara wao hawajaona hilo mbona walienda dom si wangekataa ina maana wamekubali kuburuzwa hoja yako haina mashiko kama una biashara ukipata dharura...
  9. K

    CCM watoa waraka wao katiba mpya, unaopingana na mapendekeza ya tume ya Warioba

    mpaka kufika hapo bado sijaelewa zanzibar itakuwa inaitwa jina gani kati NCHI au MKOA ukisema mambo yanayohusu bara yashughlikiwe bara na yanayohusu visiwani yashugulikiwe visiwani sidhani kama kutakuwa na maboresho yoyote na maboresho ya CCM ni ya taratibu mpk yakamilike yawezekana ikawa mwaka...
  10. K

    Double Standard Kuhusu Kauli ya "Zanzibar Sio Nchi!"

    kama ni ndoa nina imani kuwa ZANZIBAR ni mke na TANGANYIKA ni mume sasa kama kawaida mume ndo huongoza familia wazanzibari kazi yako kunyonyesha watoto na kubeba mimba tutafanyaje sasa ndo washaolewa na tanganyika na posa wamekula tangu mwaka 1964 haiwezekan lazma watulie tu wakazwe
  11. K

    Double Standard Kuhusu Kauli ya "Zanzibar Sio Nchi!"

    Cheo ni kuwa na maamuz ya busara na utendaj cheo gani cha kulia lia na unafiki pinda haelewek ni baba au mama
  12. K

    Bango litakalo tumika kumuuza Mgombea wa CHADEMA uchaguzi wa KALENGA.

    we hujui siasa ndio maana unaongea hvyo usilolijua litakusumbua....Zito ni mnafik ukimjua pinda umemjua zito anajua sana kucheza na akili zenu watz ila ukiwa na akili za kufikiri utajua chanzo cha tatizo na uhalali wa zito kutolewa CDM halaf fikiria mama yake mzazi wa Zto ni kiongoz CDM angekuwa...
  13. K

    Profesa BAREGU ndiye kinara wa kupinga dual citizenship

    mleta maada toa hoja usimu abuse mtu kwa taaluma yake na huenda we ukijumlisha elimu za ukoo wenu ndo umfikie prof. Baregu kwani ye amepinga kwa hoja gani lete hoja tujadili sio ushabik wa kijinga Mi nadhani yupo sahihi sisi watanzania hatujui kutumia uhuru tukipewa chochote lazima...
  14. K

    Wateule wa Rais JK bunge maalum la katiba waanza kumtusi

    JANA watanzania pamoja na dunia nzima iliona jinsi ambavyo,mchakato wa kumtafuta Mwenyekiti wa muda katika Bunge maalum ya katiba mpya,ikiwa ni kikao cha kwanza,tangu mchakato wa Tanzania kutafuta katiba mpya ulipoanza,ikifuatiwa na uteuzi wa Rais Kikwete wa wajumbe walioungana na wabunge...
  15. K

    Maalim Seif: Tunataka Zanzibar yetu!

    angalia hata kwenye pesa karume yupo kwny miambili tu lakin nyerere wamempamba kwny noti zote huu ni udhalilishaj wa wazanzibari wanataka nchi yao wapeni
Back
Top Bottom