Okay, kwa bahati ya kujaribu fanya hivi, Kwanza usiombe katika vyuo hivi
Lugalo
Kilosa
Kibaha
KCMC
sure as hell hakuna hata kimoja utapata hapo kwa sababu ya ushindani.
Angalia nacte guideline book, tafuta vyuo vinavyokuwa na uwezo wa kuchukua capacity kubwa ya wanafunzi, mfano Mtwara cotc...