Chadema na ukawa kanda ya ziwa yote hawana lao nyie bavicha kushinda jf na viroba vyenu kucoment kila kitu ndo mnaota fisadi tamaa nyingi kuwa atakua rais,poleni sana.
Vijana fanyeni kazi mpate maisha mazuri acheni kushinda mitandaoni kusifia na kuongelea siasa ambayo hata huyo msaka urais kwa nguvu akishinda ni km wale tu waliotangulia acheni ushabiki wa siasa kichuki na kikabila.
wenye maamuzi wote wanatoka kaskazin,hawa kina lissu na salum hata safari ni watumwa tu wa njaa zao. mkubali mkatae ukwl ndo huo kama mnasema ccm ni waislam lkn mmeona miaka kumi wametawala bila ubaguzi lkn nyie CDM kila mti ni SISIMIZI.
ina maana yeye aliamini mojamoja kwa moja maneno hayo?? kua mamlaka za juu zimeagiza yeye km wazirimkuu aliuliza hzo mamlaka za juu ili kujirizisha ama alimuamini tu katibu?? lowasa huna akili mzee wangu pole sana utakufa kifo kibaya sana.
KANU ilisambaratika kutokana na wanasiasa machachali tena sio wala rushwa na pia walitoka makabila makubwa rejea RAILA ODINGA luo MWAI KIBAKI kuyu NAJIB BALALA mombasa
lowasa mnamkubali nyie tu wa kaskaz,zaidi ya hapo hakubaliki popote afadhali hata cdm ya kina slaa ilikua inakubalika sehemu kibao,poleni ccm ni baba wa siasa africa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.