Tembelea link hizi bila shaka utapata unachohitaji.......kila lakheri
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/828396-jinsi-ya-kutengeneza-batiki-za-mashati-na-tshirt.html
ISHI MAISHA YAKO
BATIKI ZA MASHATI na TSHIRT
Kwa kufuata sheria ya kuu ya tie dye ambayo inakutaka kukunja malinda kwa mtindo wa nje ndani au mbele nyuma, hata kwa nguo yoyote iwe tshirt au shati utatakiwa kukunja kwa mtindo huo kutegemeana na ubunifu wa ua unalolitaka. Kisha utafunga kwa kamba na kuchovya...
Hakuna kitu kama hicho mkuu, tunajiwezesha wenyewe nikimaanisha tunajitegemea. ninachomaanisha hapo ni kuwa atawezeshwa kulinganba na wazo na ndoto alizonazo maana si wote wasio na kazi wana malengo na ndoto japo wana elimu. wenye ndoto na malengo tunawapa support na wasiojitambua kabisa, tuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.