Ni sahihi linavyofanya fredg nyingi wameweka mfumo huo yani pale linapopata ubaridi wakutosha linajizima ubaridi ukipungua linajiwasha lenyewe ila ni vizuri ukatumia fredg guard kwa ulinzi zaidi wa chombo chako
Jk alishaenda mpaka msiba wa mama yake mwakinyo unahisi alishindwa kumtumia tu kwenye tigo pesa akaendelea na shughuli zake
kuna faraja kubwa kuonekana kwa mfiwa kuliko iyo hela yako
Mambo yakukatakata tamaa ni tatizo hapo utaokoa na wengine wengi
Yule mkuu wa kituo nae au ndio mambo mengi kinachouma watu kama hawa wanafahamika kabisa ila..
Ndio maana nikasema ziangaliwe kikubwa sio kuangaika tena na wengi wa watu wanaokataa
Zipitiwe hoja zao kuweka ligi haitosaidia hawa wa kataa ndoa wengi wapo kwenye umri wa kuoa au walishaoa wakaacha au umri ushaenda bado wapo na misimamo yao
Nimeona mdau hapo juu akisema Kwani mwanamke...
Samahani mkuu sina shida na wanavyovitumia hapo kwenye pakulala kama store mapadre parokia gani hiyo
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.