Na bado tutashuhudia mengi zaidi. Nilisema baada ya mheshimiwa kututoka na sasa yanajitokeza. Mapendekezo ya kitoto kabisa. Eti tutangaze hadharani kuwa tuna korona mara eti tiba zetu za, asili sijui zifanyiwe upumbavu gan. Yaan hata hatujiamin sisi wenyewe. Sijui wasomi wetu wana madudu gani...
Naandika nikiwa na hasira moyoni. Uanzishwaji wa System mpya ya utozaji ushuru wa maegesho wa magari jijini Mwanza ni janga kwa taifa na sijui kwa hakika ni nani anafaidika kwa ukandamizaji huu.
Kwanza nianze na gharama za ushuru wa parking ambao ni shilingi 1500/= Ushuru ambao ni mkubwa sana...
Rais Wangu jua ya kuwa unapendwa sana na wala usihofu na endelea kupiga kazi kwa moyo wako wote na usirudishwe nyuma na mtu yeyote. Napenda kukufahamisha ya kuwa kazi yako inaonekana sana na endelea kulitumikia taifa hili na ninakuhakikishia kuwa watanzania wengi tupo nawe .
Mwisho usiwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.