Wadau wa psychology, ninaomba ushauri wenu wa ndoa.
Mume au mke anapoachana na mwenza wake wa ndoa anatakiwa kiafya ya ubongo na mwili achukue muda gani wa mapumziko kabla ya kuingia mahusiano mapya ya ndoa?
Naomba msaada wenu.
Maji baridi unaimanisha nini?
Uwepo wa maji baridi unaweza ukasababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo FRIJI na maeneo yale ya njanda za baridi.
Tengua maelezo yangu sasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.