Natafuta motherboard aina ya Pinetech Smart Tv inch 43..Tv yangu haioneshi picha lakini sauti inaingiza. Mwanzo ilianza kwa TV kuzima na haikuwa inaingiza moto lkn fundi alifanikiwa kurudisha Moto na ikawa inatoa sauti akanishauri nitafute motherboard kwamba display yake imekufa .Msaada kwa...
nachokumbuka bhana tulicheza mechi ilikuwa maticha wa umbwe vs lyamungo ila tukacheza baadhi ya wanafunz tulienjoy hatukuwa na bifu tena pia misa na ibada za pamoja na kombo kugombania mademu huh huh huh ni shidaaaaaa
Bado man hapa pia Mzumbe haijulikan naona wapo kimya hata haieleweki maana km ni fisadi hata wao wanastahili hilo jina haiwezekan tutume mara tatu zote bado tukose izo hela c ni bora hata ningepeleka kwa watoto yatima kuliko hawa mafedhuri
Wkt bunge limekaa ilipitishwa hoja ya kuwaangalia upya wanafunzi waliokosa mikopo kwa mwako wa masomo 2012/13 na likaamuru bodi kuwaangalia upya wanafunzi wanaoendelea na masomo na likaja na hoja kwamba wanafunzi wote waliokosa mikopo watume tena upya. Lakini mpka leo hii nayaandika haya hakuna...
Kwa wale continuing student waliomba loan mwenye info imefikia wapi mpka xaxa maana naona kimya hata haileweki. Kwa wale mliokwisa fungua vyuo vp majina yameshatoka au km kawaida ya kibongo? Tuhabarishane jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.