Recent content by kibwaso

  1. K

    Hoja binafsi kuhusu Chadema na Siasa za Tanzania

    Tusaidie kufafanua hiyo harambee ni ya kuendesha chama?
  2. K

    CHADEMA yalaani dhamira ya Serikali kukataza Mikutano ya hadhara ya vyama vya Siasa

    Kwani baada ya uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi huwa inafutwa?
  3. K

    Mbowe kudai Magufuli anacheza ngoma ya CHADEMA ni dalili ya kuishiwa kisiasa?

    Kwahiyo kosa huhalalishwa kwa kutenda kosa?
  4. K

    Mbowe kudai Magufuli anacheza ngoma ya CHADEMA ni dalili ya kuishiwa kisiasa?

    Inategemea pia kwako wewe mtoa post siasa unaitafsiri vipi?
  5. K

    CHADEMA hai yaendelea kusambaratika

    Rejea utabiri wa Wasira;"CHADEMA"Itakufa kabla ya 2015
  6. K

    Tuzo za Lowassa ni mkono wa kwaheri katika siasa za nchi hii

    Hana pesa lakini pia hana njaa
  7. K

    Saed Kubenea, kutoka mpinga ufisadi na mafisadi hadi mtetea ufisadi na mafisadi

    Mh.mjitahidi kujenga hoja je nyaraka alizozitoa Kubenea ni feki?
  8. K

    Ufafanuzi: Ada Elimumsingi

    Peleka dogo aanze masomo hizi porojo zitakupotezea nafasi
  9. K

    Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

    Mimi nipo Kilombero je na huku tumechagua kwa kufuata ukabila?
  10. K

    Msimamizi wa Uchaguzi wa Meya jijini Tanga akamatwe mara moja

    Sasa hujaona kama wamechukua hatua?ulitaka wafanyeje?
  11. K

    Suala la MCC kutunyima pesa za msaada lisichukuliwe kisiasa

    Kwanini lisichukuliwe kisiasa wakati suala lenyewe ni la kisiasa?
  12. K

    CCM yaibuka kinara umeya jijini tanga

    Fanya tathimini CCM ina madiwani wangapi na UKAWA wangapi ili ujue wepi wanakubalika
  13. K

    Sakata la kuficha hela ughaibuni: BoT yamkana Mbowe, Kufungwa miaka 14?

    Hadithi ndeeefu lakini wameshindwa kumtafuta mbowe kumuuliza hiyo ni dalili ya majungu
Back
Top Bottom