Kama tutatilia mkazo matumizi ya kiswahili fasaha hasa ktk shule na vyuo,hakutatoke uharibifu wa lugha 'english speaking policy' kwa anayetaka! Hapo kisw. Hakitaonekana kama lugha ya makabwela,na kitazungumzwa kwa ufasaha.
Kiswahili lugha ya makabwela!tunaipa bendera ya taifa heshima inapopandishwa/kushushwa halafu shuleni utaambiwa kuna 'english speaking policy' ukiongea kiswahili unabebeshwa bango linakokudhalilisha!tuna nia ya kukiendeleza kiswahili?kama hatukiheshimu kiswahili(mf shule nyingi za sek) hakuna...
Decoda ipi (jina)sh ngapi?na frq na code zake-kuna kipindi flan nilisikia dstv wana uza chnl 25 kwa sh 13500 vp nikinunua hii kuna uwezekano wa kupata etv
Huwa ni rahisi kuanzisha uhusiano/urafiki wa kimapenzi hata na watoto wa kihindi lkn tatizo kwao watakukataa,sasa subiri wakati unaenda kujitambulisha!@leonard
Nadhani unayajua/umeshayasikia mashuka ya kimasai!na wazungu huenda kuushangaa utamaduni huo!kwani wamasai wana viwanda vya kutengezea hayo mashuka?@ kongosho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.