Me list yangu ni hii,nawe njoo na yako.
1]manyara
2]tanga
3]kagera
4]mwanza
5]arusha
6]mara
7]tabora
8]dodoma
9]iringa
10]ruvuma
11]dar es salaam
12]mtwara
13]mbeya
Labda Dare es Salaam, kwa sababu wa mikoa yote Tanzania wanapatikana!
Me list yangu ni hii,nawe njoo na yako.
1]manyara
2]tanga
3]kagera
4]mwanza
5]arusha
6]mara
7]tabora
8]dodoma
9]iringa
10]ruvuma
11]dar es salaam
12]mtwara
13]mbeya
inawezekana mnajibu ambavyo sivyo. hebu fafanue, toto za ukweli unamaanisha katika nyanja ipi? sura, figure, tabia au kwenye 6x6 ? ukiwa na tabia nzuri pia ni totoz ya ukweli, ukiwa hujambo kwenye 6x6 pia toto ya ukweli, sura ikipendeza pia toto ya ukweli, shape nayo hali kdhalika. haya fafanua mtoa mada tukujibu kwa ufasaha.
kule kwa akina mama tunu pinda au?
Manyara sawa nakubali!umechemka kwa kutoiweka Singida!huko kuna totoz za ukweli,'potabo',na zaidi ya 90% ni weupe(kwa asili)
Hivi hao wazuri huku manyara mnawaona wapi!! maana mi nimezaliwa huku, nimekulia huku na naishi huku mbona sioni hao wazuri wa kuwafagilia hivyo!!! mnaangalia nini sasa!!!. Au mnadanganyika na baadhi ambao mnawaona ni weupe ambao wengi ndio rangi yao. Kama ni rangi mtakuwa mnachemsha sana. Huku manyara hakuna kitu wamechoka vibaya. Mi binafsi mpaka ikanibidi nioe homa (yaani kabila lingine), Nimechukua kitu cha songea nipo nacho huku, madada wenyewe wa kimbulu wanakizimia, hawafui dafu kabisa. sasa sijui nyie mnaongea manyara ipi!!!.
kaskazini totoz zimesimamia kucha afu ni vmodo
Number moja Waoo ..ntalala unono leo.
Weekend njema ..
Me list yangu ni hii,nawe njoo na yako.
1]manyara
2]tanga
3]kagera
4]mwanza
5]arusha
6]mara
7]tabora
8]dodoma
9]iringa
10]ruvuma
11]dar es salaam
12]mtwara
13]mbeya
AD tungo tata hii.....sijakuelewa....Number moja Waoo ..ntalala unono leo.
Weekend njema ..
Wewe sasa unataka matatizo na afrodenz!