Dah we jamaa umenikumbusha mbali,
Nilianza Milambo Form five mwaka 2007,
Siku yakwanza mwalimu Majubwa akapigwa risasi tukaamshwa usiku.
Wiki chache Kunajamaa tulikuwa tunalala nao Sokoine wakagombana mmoja akamkata mwenzake koromeo, dah! Hapo nilitaka kesho nihame,
Lakini baada ya mwezi...
Hawa jamaa sijui wanashindana vipi na soko? Several times nimeenda pale branch ya Nyerere zamani Airport, mara nyingi unakuta watu watatu ktk foleni, counter ziko tatu but it can take you hours kuhudumiwa and no one seems to care.
Nafikiria kuhama bank, hawa watu hawako serious kabisa!
Mnalaimu! Kuna mtu kawakataza kwenda kazini? Mimi binafsi kesho naenda ofisini hakuna atakayenizuia, wengine mnalalama wakati kila siku mnaamka saa mbili, kama unamaanisha nenda kapige kazi hapo hakuna atakayekwambia kaa mita 200
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.