Recent content by kibuyu180

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wahi Shamba zuri sana linauzwa lipo Kisarawe

    Nauza shamba langu lipo Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Kisarawe, kata ya Kisanga, kijiji cha Kitunda. Lina ukubwa wa Ekari 6. Udonga safi sana wenye rutuba. Lina maji ya kutosha lwa kilimo cha umwagiliaji kwa muda wote. Kilimo cha pesa ni maji ya uhakika. Wala huna gharama ya kuchimba kisima...
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mademu wanajifanyaga hawapendi ila ndio zao
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huyo demu bata alikataa kuzuga tu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tuwape maneno ya faraja na kuwatia moyo wanaume wenzetu wanaopigwa na wake zao huku wakiuchuna kana kwamba hawapigwi

    Wanaopigwa ni walevi? Wagonjwa? Au wazima kabisa? Sielewi mwanaume unapigwaje na mkeo! Au unakuwa umeamua kumwachia?
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider man anawapa hi. Wiki hii ataendeleza
  6. K

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Wanaongoza kwenda kanisan na msikitini n wachafu hatari. Mimi binafsi nimeacha kwenda kanisan mwaka 4 sasa.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa uzi wa wanawake kutusogezea makalio kwenye Dala dala

    Ntakuja na mikasa yangu mi3
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa uzi wa wanawake kutusogezea makalio kwenye Dala dala

    Wanawake wengi wanapenda
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    siwezi kukosa hiyo 50k
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    basi hawa wasanii wa kike ndio mchezo wao
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    kweli usimwamini mtu,inavyoonekana hawa wasanii wa kike ndo watoa line mbili
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    kumde kidoti kimya kimya
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    nilikuwa namchukulia sivyo, kati ya wasanii nilimuona hana mambo hayo. kumbe alitoa hadi line nyingine!! usimwamini mtu
  14. K

    JamiiForums Tanzania Simulizi kumi kali nilizowahi kuzisoma hapa JamiiForums

    kwangu Patrick Ck na Singano Jr ni watunzi bora wa kwasasa
Back
Top Bottom