Recent content by kibunda

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mtatiro na hoja ya ruzuku ni uzushi kama hoja ya RITA

    Katika kesi hiyo wewe uko upande upi? Wa CUF au wa Msajili na AG?
  2. K

    JamiiForums Tanzania RC Singida: Nilimuweka DMO rumande ili apate akili

    RC huyo inaonekana kweli linamtafuna. But, angetumia hekima kukaa kimya!
  3. K

    JamiiForums Tanzania RC Singida: Nilimuweka DMO rumande ili apate akili

    Badala ya kuomba radhi anazidi kumkejeli.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya Ndani: Atakayesema kuna njaa tutamkamata na kumwajibisha

    Waanze kukamata viongozi wa dini
  5. K

    JamiiForums Tanzania CCM kufanya Maandamano makubwa ya kihistoria Songea kesho

    Kwani zile silaha za Ikwiriri hazijafika Songea?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Gazeti la uhuru na habari ya wizi wa billion 200 BOT

    Ndiyo wanahusika
  7. K

    JamiiForums Tanzania Je Bunge la Katiba Kurushwa 'Live' kupitia Redio na TV?

    Huenda likarushwa live. Ni tukio kubwa sana!
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kesho, Jumatatu ni siku ya mapumziko Tanzania Bara na Zanzibar

    Sasa huku ni kulewa Madaraka
  9. K

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa Makambi ya vijana wa CCM na kinachoanzishwa na CHADEMA

    Hapa, hawa green guard watakuwa wanafyatua matofali au wanafagia hospitali kwa mujibu wa nchemba.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Tuwasaidie Vipi 60% ya Wazanzibari kutoka kwenye Muungano?

    Mzee Mwanakijij, Tarehe 30/5/2013 Wazanzibar kadhaa wamefungua kesi (Petition) Mahakama Kuu ya Zanzibar wakiomba Mahakama hiyo itangaze kuwa Muungano ni batili. Kesi hii imeshafikishwa mahakamani ingawa bado haijapangiwa kusikilizwa. Huenda na hizi ndiyo muendelezo wa siasa za Zanzibar na hatua...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ninakwenda mafunzo ya JKT...

    Kule utatumia jina gani, hili bandia au lile lako halisi?
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mama Salma Kikwete awasili Mkoani Rukwa kwa Ziara ya Siku Tatu... Pichani akiwa IKULU ndogo

    Utukufu kuliko hata Waziri.
  13. K

    JamiiForums Tanzania DPP: Sheikh Ponda anahusika na Al-Shabaab!

    Naamini wakithubutu kuandamana askari watatosha kuwadhibiti misikiti yote. Lakini wakiandamana kwa amani askari wa kuwalinda hawatoshi.
  14. K

    JamiiForums Tanzania UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

    Mi tatizo la wingi wa watu halinisumbui sana. Lakini kinachonisumbua ni huo mfumo wa nusu kwa nusu walioanzisha. Mtu anaweza kujiuliza, hivi baada ya kukubali hasa sisi watanganyika kutungwa kwa sheria mbovu hii ya mchakato wa katiba, tutakuja kukataa tena, kama Wazanzibar wakitaka kwenye katiba...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Facebook yatishia kujitoa endapo hatutakubali "ushoga"

    By the way what is FB? Do we think a country can not live without FB? Wale jamaa wanatumia misaada kama fimbo ya kupitisha mambo yao. Umefika wakati tuache kuomba omba.
Back
Top Bottom