Mzee Mwanakijij,
Tarehe 30/5/2013 Wazanzibar kadhaa wamefungua kesi (Petition) Mahakama Kuu ya Zanzibar wakiomba Mahakama hiyo itangaze kuwa Muungano ni batili. Kesi hii imeshafikishwa mahakamani ingawa bado haijapangiwa kusikilizwa. Huenda na hizi ndiyo muendelezo wa siasa za Zanzibar na hatua...
Mi tatizo la wingi wa watu halinisumbui sana. Lakini kinachonisumbua ni huo mfumo wa nusu kwa nusu walioanzisha. Mtu anaweza kujiuliza, hivi baada ya kukubali hasa sisi watanganyika kutungwa kwa sheria mbovu hii ya mchakato wa katiba, tutakuja kukataa tena, kama Wazanzibar wakitaka kwenye katiba...
By the way what is FB? Do we think a country can not live without FB? Wale jamaa wanatumia misaada kama fimbo ya kupitisha mambo yao. Umefika wakati tuache kuomba omba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.