Recent content by KIBONG'OTO

  1. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    asante nimekupata mkuu
  2. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    asante mkuu kwa ushauri wako
  3. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    asante mkuu nimefikia uamuzi wa kumuacha
  4. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    nimekupata mkuu.
  5. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    nimekuelewa mkuu ,na nimeamua kufanya maamuzi magumu ya kumuacha.
  6. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    nimeona asomeki nimeamua kumuacha kabla ajaniacha
  7. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    ndomana nimeamua nijiweke pembeni mkuu
  8. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    Nashukuru sana wakuu kwa ushauri wenu nitaufanyie kazi na nimefikia maamuzi bola niachane naye naona kama napoteza muda kuwa na mtu ambaye hana upendo na mimi na nikiendelea kuwa nae ataniletea matatizo na jambo linaweza kuniathiri sana katika shughuli zangu binafsi na nimeona bola nianzishe...
  9. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    Wakuu huyu mwanamke nimekuwa nikimpenda sana kiasi kwamba niliamini kwamba anaweza kuwa mke wangu wa baadaye wala sikutaka kumchezeya ,nimekuwa nikimsaidie mambo mengi kiuchumi na kumpa zawadi ndogondogo na nilimwambia kabisa dhumuni la kuwa na yeye ni kuwa mke na mme wa baadaye lakini bado...
  10. K

    Ajali mbaya Msata

    mungu awatangulie
  11. K

    Simba wapiga deiwaka Arabuni (picha)

    mh! Hii kali.
  12. K

    Huyu mwanamke simuelewi

    Wakuu naombeni ushauri kuna mpenzi wangu tuna muda wa miezi mitatu sasa katika mahusiano yetu, ila simuelewi nikimpigia simu anachelewa kupokea au asipokee kabisa ni kimuuliza tatizo nini anatoa sababu zisizo za msingi, mara nyingi mi ndo mpigaji sana wa simu na nikikaa kimya kuto kumpigia...
Back
Top Bottom