Nashukuru sana wakuu kwa ushauri wenu nitaufanyie kazi na nimefikia maamuzi bola niachane naye naona kama napoteza muda kuwa na mtu ambaye hana upendo na mimi na nikiendelea kuwa nae ataniletea matatizo na jambo linaweza kuniathiri sana katika shughuli zangu binafsi na nimeona bola nianzishe...
Wakuu huyu mwanamke nimekuwa nikimpenda sana kiasi kwamba niliamini kwamba anaweza kuwa mke wangu wa baadaye wala sikutaka kumchezeya ,nimekuwa nikimsaidie mambo mengi kiuchumi na kumpa zawadi ndogondogo na nilimwambia kabisa dhumuni la kuwa na yeye ni kuwa mke na mme wa baadaye lakini bado...
Wakuu naombeni ushauri kuna mpenzi wangu tuna muda wa miezi mitatu sasa katika mahusiano yetu, ila simuelewi nikimpigia simu anachelewa kupokea au asipokee kabisa ni kimuuliza tatizo nini anatoa sababu zisizo za msingi, mara nyingi mi ndo mpigaji sana wa simu na nikikaa kimya kuto kumpigia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.