Recent content by kibongemdudu

  1. K

    Kama huyu anayeondoka alikuwa na kidigrii kimoja tu kauza kila kitu je huyu mwenye phd itakuwaje???

    Je huyo anaewekwa hapo na wafanyabiashara tukimpa nchi si atageuza duka anabebwa na wafanyabiashara itabidi aludishe pesa za watu huyo wa huko hafai kabisa
  2. K

    Ccm tuhurumieni wananchi tuna hali ngumu acheni tuongozwe na wengine msitulazimishe

    Unategemea lowasa atagawa hela usibweteke fanya kazi
  3. K

    KOMBORA za Mwisho Kuanza Kurushwa Oktoba 01

    Hata kama tunaichukia ccm ila ni chama kipi kina kheri mpaka tukichague
  4. K

    Field Marshall Mwigulu Nchemba aiteka Karatu kwa Kishindo cha ajabu

    Nanyi Chadema unatumia mitandao ya jamii kama ngazi kwenu kila kitu ni nyinyi mpaka mnakera nadhani wengi wenu ni majobless
  5. K

    Moro na Dodoma Ngome kuu za CCM

    Acheni siasa za maji taka huu ni uchaguzi usione watu wengi kwenye mikutano ukaisi mtashinda mfano tanga ni vigeugeu utaona magufuli atakavya shinda tanga hamta amini vimacho vyenu ccm wana makundi ya watu kila sehemu ya nchi
  6. K

    Dr Magufuli mbona anapaniki kimemkuta nini siku za hivi karibuni!

    I Unafaa ww na huyo mgonjwa wenu
  7. K

    Nakasirika kijana chini ya miaka 45 kushabikia CCM

    Lowasa kala ujana wake ccm kaja huko ufisadini mzee acha ulofa
  8. K

    CCM yaanza kampeni ya anga kwa anga, yabadilisha kutoka barabara kwa barabara

    Ila wetu si mgonjwa wenu analazimika kupanda chopper lazima
  9. K

    Mdahalo huru wa wanachama wa JF kati ya TeamUKAWA na TeamCCM hapa hapa JF!

    Hatujakimbia ila for me sijajua unaulizaje au unajibuje niliuliza swali sikujibiwa mdaharo wa kiyoto huu
  10. K

    Mdahalo huru wa wanachama wa JF kati ya TeamUKAWA na TeamCCM hapa hapa JF!

    Afya mnakua mgombea wenu afya yake sio nzr je hamuoni kwamba siku akimaliza kampeni na uwezo wa kuongoza hata kuwa nao kama atashinda uchaguzi
  11. K

    Mdahalo huru wa wanachama wa JF kati ya TeamUKAWA na TeamCCM hapa hapa JF!

    Kwa jina naitwa kibongemdudu team magufuli
  12. K

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Kila kitu nyie kwenu kibaya basi fanyeni utafiti wenu na mseme asilimia ngapi mmeshinda
  13. K

    Magufuli: Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!

    Ndugu Mingoi Kwa Hiyo unataka kukuambia wananchi wa Libya wanamaisha mazuri kuliko wakati wa Gaddafi? Fikiri kwanza Fanya utafiti kabla ya kunena
  14. K

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini, Amani Walid Kabourou akataliwa mbele ya Dr. Magufuli

    Mbona alipo maliza mdee watu walikua nyomi zaidi acheni ushibiki wenu wa maji taka
Back
Top Bottom