Je huyo anaewekwa hapo na wafanyabiashara tukimpa nchi si atageuza duka anabebwa na wafanyabiashara itabidi aludishe pesa za watu huyo wa huko hafai kabisa
Acheni siasa za maji taka huu ni uchaguzi usione watu wengi kwenye mikutano ukaisi mtashinda mfano tanga ni vigeugeu utaona magufuli atakavya shinda tanga hamta amini vimacho vyenu ccm wana makundi ya watu kila sehemu ya nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.