Unategemea lowasa atagawa hela usibweteke fanya kazi
Tulia tu Magufuli anakuja..atayamaliza yote hayo. si ccm wala chadema itaenda ikulu..kiongozi ndo anaenda ikulu. mpe JPM kura yako na utakuwa na amani.. Usisahu hao wanao kuambia wanakumetea mabadiliko ndo walipewa kazi na wakashindwa..hawana jipya tena watacopy yaleyale. Magufuli Rais!!