Duh!!! yaani CCM mnavyoishi bila kumbukumbu hivi mleta mada unaweza kutukumbusha pale Mwigulu alipokuja na chopa hapo Karatu wakati ule wa chaguzi za serikali za mitaa mliandika nini? na matokeo yalikuwaje baada ya uchaguzi? CCM mliambulia vitongoji na vijiji vingapi hapo karatu?