Akili za kuambiwa changanya na zako. Iko vizuri
Pia UKAWA wanadhani kuzuia Bunge lisionekane moja kwa moja litawaathiri CCM, kumbe wananchi tuliowatuma wao pia tunakosa mahali pa kuwapima namna wanavyofanya kazi. Wameamua kujificha tusiwaone ili kufinya udhaifu wao. Na hatari ya kujificha...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetoa somo hilo kwa kutangaza matokeo ya Raisi wa Zanzibar ndani ya masaa 24. Tangia vituo vya uchaguzi vifungwe saa kumi jioni ya Jumapili ya tarehe 20/03/2016 na kabla ya saa kumi jana matokea yakawa yapo tayari. Hili liwe funzo kwa Chaguzi zijazo.
Swali...
Ameona kwa utawala huu propaganda za kisiasa hazipo, kilichopo ni kufanya kazi kwa vitendo na si kukaa ofisini tena. Ni bora ameliona hilo na kujiondoa mwenyewe.
Haya ni makovu ya uchaguzi mkuu uliopita, yataisha uchaguzi mkuu ujao ambao utatengeneza mengine.
Hivyo hii staili ya kukamatana hataisha na hii misuguano itaendelea daima
Nitaafiki na kuunga mkono kuwa kuna Elimu ni BURE iwapo tu watoto wa wakubwa Serikalini wataanza kusoma shule zetu sisi tunaoambiwa elimu ni BURE na sio shule binafsi. Kwani hii itapelekea kila mkubwa kuwa na uchungu na shule hizo na kuzisimamia kwa nguvu zote nah ii itasaidia uboreshaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.