Recent content by Kibogoyo2018

  1. K

    JamiiForums Tanzania Prof Ndalichako alidanganya bunge au kauli yake imepuuzwa?

    Zoezi LA kuhamisha walimu kwa mijini ni kubwa kwani kuna maafisaelimu waliopokea rushwa na kuwajaza walimu shule moja mijini had I walimu wanakosa vipindi vya kufundisha.ushauri wangu pamoja na kuhamisha walimu kwenda mdingi maafisaelimu wore waliohusika wawajibishwe ili jambo ili lisitokee tena.
  2. K

    JamiiForums Tanzania OCs Wilaya ya Hai ni Jipu

    Mkuu polisi kituo cha polisi bomangombe Hai, ana matatizo makubwa ya kiutendaji na tunamuomba IGP atusaidie kumhamisha na afanyiwe uchunguzi. Ni mpokea rushwa mkubwa,ni mbinafsi,na anaendeleza majungu ndani ya jeshi LA polisi. Yapo matukio mengi anayafanya ya kiutendaji bila viongozi wake...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wakuu nimepelekwa shule msingi nipeni uzoefu

    Moshi manispaa nako kimenuka,walimu zaidi ya 300 wamehamishiwa shule za msingi kutoka secondary. CWT mpo? UA bank ya walimu imefikia wapi.mchana mwema
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ukuta wa Mererani wakamilika kwa zaidi ya asilimia 98

    Ushauri WA bure Kia serikali,ya units kukamilika watumishi wote w wizara ya madini waliopo ofisi za madini mererani wahamishiwe ofisi za madini Nikos mingine. Itasaidia serikali kukusanya n kukupata na kukusanya mapato makubwa.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ukuta wa Mererani wakamilika kwa zaidi ya asilimia 98

    Sheria mpya inasemaje kuhusu malipo ya application ya pml na pl? He pml bado ni tsh 50,000 au ni 20,000? He PL ni dola 300 Au ni dola 100?tumeshindwa kuelewa cha kufanya
Back
Top Bottom