Recent content by KIBINDU

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Rio Ferdinand hapo Airport ya Dar, yamenipa maswali mengi kuliko majibu

    Ni sehemu ya utalii. Kila mtu afurahie haya maisha kwa namna inavyofaa bila ya kumkera mwingine.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Huu ni ugonjwa gani? Maana dawa zote zimedunda

    Kule upareni milimani wana jina la huo ugonjwa. Watumiaga nyama ya kima kama sikosei kuudhibiti.
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sipendi tabia ya Mwanamke kujifanya hajui kilimchomleta faraghani

    Hiyo woiiiiih Nahisi Kiraracha
  4. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Apps za kuangalia game za England kwa ku-cast na TV

    LIVE FOOTBALL TV. Unaipata kupitia search engine ya google na si play store
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nataka kufungua kijiwe cha kitimoto pembezoni mwa barabara. Je, wazo hili ni sahihi?

    Kitendo cha kuuliza tu inaonesha nawe una mashaka. Hivyo sikushauri.
  6. K

    JamiiForums Tanzania UTV ya Azam Tv sio free tena

    Naona iko on sasa.
  7. K

    JamiiForums Tanzania UTV ya Azam Tv sio free tena

    Nahisi sababu ni kuonesha mechi ya EPL. Ila kama ni free channel inapaswa kusiwe na restriction yoyote ile ya kumsababishia mtazamaji ashindwe kutazama wakati wowote. Kama wanaonesha content yenye kuhitaji kulipia wapeleke kwenye channels zao za kulipia na isiwe hii channel ya bure
  8. K

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kusoma kitabu kipi kizuri hadi hivi ukikikuta unatamani ukinunue?

    Malizia page inayofuata maana hii hadithi nimeielewe
  9. K

    JamiiForums Tanzania Huwa mnadili vipi na ndugu wa aina hii?

    Kama alikupatia japo 30000 bado ni mtu mwema kwako kwani alikujali. Mpatie tu kama unayo kwani kukuomba wewe inaonesha ana imani kwako. Tunza imani hiyo kwani ni baraka pia.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hivi yupi ni shangazi kati ya dada yake baba au mke wa mjomba

    Mke wa mjomba huku kwetu tunamwita MKWE
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

    Ila ni mwandishi mzuri sana.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ukitoa NBCPL, Azam TV wana nini kingine?

    Taja hizo za Startimes ambazo ni nzuri
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kupata wagombea ndani ya CCM uwe kama 2020

    Wagombea kwa nafasi za ubunge na udiwani mchujo wake usizingatie nafasi ya kwanza kwenye kura za wajumbe. Kwenye udiwani tafuteni watu kama viongozi wa kiroho, watendaji, wakuu wa shule na watu mashuhuri watawapatia wagombea sahihi. Ubunge pia iwe hivyo hivyo. Hata mgombea mwenye kura chache...
Back
Top Bottom