Nahisi sababu ni kuonesha mechi ya EPL.
Ila kama ni free channel inapaswa kusiwe na restriction yoyote ile ya kumsababishia mtazamaji ashindwe kutazama wakati wowote.
Kama wanaonesha content yenye kuhitaji kulipia wapeleke kwenye channels zao za kulipia na isiwe hii channel ya bure
Kama alikupatia japo 30000 bado ni mtu mwema kwako kwani alikujali.
Mpatie tu kama unayo kwani kukuomba wewe inaonesha ana imani kwako. Tunza imani hiyo kwani ni baraka pia.
Wagombea kwa nafasi za ubunge na udiwani mchujo wake usizingatie nafasi ya kwanza kwenye kura za wajumbe.
Kwenye udiwani tafuteni watu kama viongozi wa kiroho, watendaji, wakuu wa shule na watu mashuhuri watawapatia wagombea sahihi.
Ubunge pia iwe hivyo hivyo.
Hata mgombea mwenye kura chache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.