Ni laki na ishirini au milioni moja na laki mbili? Kama Ni laki na elfu ishirini hukuwa na haha ya kushangaa ...mbona hata hapa palm village , kahama watu wanatumia mpaka laki tatu na Ni kawaida.
Mkuu Kuna siku alitangaza kusimamisha Ila alisema kuwa anasimamisha wanaohamia kwenye miji manispaa na majiji, Ila sio kijijini.....huyu mleta mada ka generize na pengine huko kwako wanaohamia vijijini au ndio Yale ya MKONO MTUPU SIJUI HAULAMBWI.
Mimi KIBIKIMUNU Sina ushahidi wa kile alichosema mleta mada Ila ambacho naweza share nanyi hapa na ambacho najua nanyi mnakijua Ni hiki .....TUPENDANE WANADAMU KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.
KIBIKIMUNU kwa Sasa nikiwa kwedizinga hapa HANDENI.
Sawa ! Umechanganua Ila mwamba alituambia kuwa "TUNAJENGA KWA FEDHA ZA NDANI AMBAZO NI ZA KWETU"......Huo mkopo hakuwahi kutuambia. Wewe na NAPE MHOJIWE.
Halafu mleta mada unaweza kukuta Ni kiongozi kabisa w serikali na akija huku nyamihuu anataka tumsikilize na anatupiga mikwara. Yaani Hilo la nape mmesubiria awalipue ndio mjifanye hesabu zichunguzwe je Kama asingewalipilua maana yake mngekaa kimya? Ziara zimefanyika 2015 ....Leo ndio unakumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.