[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]kumbe upo na huku,,,, nisamehe kwa niaba ya wana jf wote[emoji1431][emoji1431][emoji1431]. na nnabadilisha ID kutoka sasa.
mi kweny suala la kuoa nilipanga nioe mwanamke anajielewa na kujitambua na mwenye akili,mvumilivu wa kila hali yangu na tabia zangu,,hivyo sikuona kwa hao walokuwa hawajazaa nikapata huyu ndo ana sifa zote nazotaka nikaona siwez acha hii bahati.
msinishauri juu ya kuishi na kumlea huyo mtoto tafadhali hili ni reply yangu ya mwisho juu ya ushauri wa kuishi na mtoto ambaae so wangu,mtaniwia radhi sana[emoji1488][emoji1431]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.