Sasa kuanzia leo push up ni mchezo wa kitoto angalia huyu hakuwai kusemwa kua anaumwa ila mda umefika katangulia so push up ni kumdhihaki mungu akikutaka hakuna push up
Mm ninawasiwasi na utafiti wa hawa jamaa wa twaweza kwa sababu zifuatazo;
1) kuna mapungufungufu kama a:wanasema Cuf ,nccr wanapewa asilimia wakati hakuna mgombea urahisi
2:jumla ya asilimia ziko 102%
3: hatukuambia methodogy ipi imetumika
4: sample size
5:caputured area
6;Age,genda,
7:conclusion
Kama utafiti wao uliangalia upande mmoja ktk kundi la wamams siyo vjana na akina dada na vijans hapo sawa ila kwa vijana na wadada ccm itapata 24% cdm 69%
Ila mm bado kichwa kinaniuma sana vijana wakimpenda mgombea wao ccm mnawaona hawajitambui tena mnatokwa mapovu hata wasomi ka Bana nae yuko mkumbo mmoja na ccm sasa mnisaidie mama zetu ambao ndo wanapata tabu ya maisha wao makishangilia ccm mbona hamsemi hawajitambui? Mm kwa mawazo yangu waache...
Tunataka kujua first lady wa mkapa yuko wapi ili tuamini matusi yake kama ya kweli mpumbavu ni yule aliyeshindwa kukaa na mwenzi wake ila kuhama chama si upumbavu ni ujasili
Haya majamaa yalinichekesha tulikua msibani huko kwetu kuna jamaa anaitwa karim akamtuma mwakilishi wake eti anakuja kwenye msiba anaomba mic kumnadi huyu karim kumbe hakujua peopleessss!!!wapo mbona alikiona
Acha umbulula disposal policy ni kwa viongozi tu na je utaratibu umefuatwa? Maana tunaweza sema disposal policy bila kujua kua nayo ina utaratibu kama procurement procedure!! So mtu akihoji si kosa let prove kama procedure ziko ok!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.