Umakini: CHADEMA Urais mawakala watanunuliwa?

Umakini: CHADEMA Urais mawakala watanunuliwa?

Kulinhana na taratibu za uchaguzi kila mgombea atakuwa na wakala kwa hiyo katika sehemu nyingi kutakuwa na zaidi ya wakala mmoja ambaue atawakilisha wagombea wa vyama ndani ya ukawa labda sehemu chache ambazo ni chadema tupu kwa hiyo uwepo wa wakala zaidi ya mmoja wa ukawa itasaidia pia
 
Ni vema wagombea hasa wa ubunge wakapewa jukumu la kuteua mawakala wanaowaamini wao. Mfano mimi kama ninakuwa ni wakala wa ndugu au rafiki yangu wa karibu itakuwa vigumu sana kumsaliti tofauti na mtu baki nisiyemjua kabisa.
 
Anyway kila mutu anayo mawazo yake hapa ni mabadiliko ya siasa siyo ya dini kwa mtazamo wangu
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini

Mdini mkubwa wewe! Shikamoo Pemba kwa siku ya leo kwa mapokezi makubwa mliyompa Lowassa.

Sasa nakunyamazisha; Tulipomchagua Kikwete mahitaji yenu mlipata? Tena alijitahidi kuwasogeza karibu zaidi ili mtulie akawapa mpaka jaji mkuu wa mahakama ya rufaa, bado kuna makamu wa rais, na mashirika ya umma alibalance sana uwiano katika hayo maneno yako, je! Aliwapa kile mlichokitaka?

Lowassa anasema elimu iwe bure ili usome upate mwanga wa kufikiri bila kutumia hisia hafifu zisizokuwa na afya kwa taifa letu. Nimrkusamehe ili twende pamoja October 25 tukiwa wamoja maana kuna maisha baada ya uchaguzi.
 
Mwongozo Junior acha kupandikiza chuki za kidini,hivi akili yako iko sawa kweli?.Tanzania ya leo bado kuna watu wana mawazo sitaki kuyaita ya kishenzi na kishetani kama haya ya kwako.Huo ujinga wako hakuna wakukusiliza na kufuata,kama huna kitu cha kuandika jifungie chumbani kwako ulale.Ushindwe wewe na aliyekutuma,hakika ulaaniwe na kila mpenda amani na mwenye mapenzi mema na nchi hii.

Ukiona mtz anapandikiza chuki za udini kwa wananchi ujue wamefilicka
 
Wewe acha kuwasemea watu wana macho na wanakumbuka alicho wafanyia kwa kuwapendelea wakristo hadi ukawa (ukiwa) watashangaa watasema kura zimeibiwa lkn watu watamunyonga kwenye sanduku la kura
 
Jambo la muhimu ni kuhakiki kama vituo vyote ni halali! Fikiria mwanzoni walituaminisha kila sehemu ya kupigia kutakuwa na watu 450! Ambapo kwa wapiga kura 23.5 milion ni vituo 52000 sasa hivi vya sasa 72000 kuna watu wamehakiki? Na kila sehemu ya kupigia sasa ni watu wangapi? Muhimu kuhakiki not too late
 
Back
Top Bottom