Watalipa gharama za kuhama hama ama mpaka kodi walizolipa huko ziishe!? Vp kama wameenda kukutana na masoko mazuri zaidi ya hapa!? Mkikurupuka mjuege na gharama za matarajio ya matakwa yenu
Basi ya police ime hama line!? Ama naona vibaya!? Poleni sana #mbwa_kala_mbwa ila jamaa wamelewa madaraka kupitiza ukijumlisha na matukio wanayo yafanya, mh! Tupo pabaya #tarime
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.