Ww kaoe watoto wa kishua mkuu,tuachie magoli kipa wetu ndo uwezo na akili zetu zilipoangukia,ila maisha hayana formula unaweza ukaowa msomi mwenzio ugomvi Kila siku nyumba ni,au ukaowa golikipa ukawa vurugu mechi Kila siku mpaka ukajuta,cha muhimu ni kumuomba mungu akupe mke/Mme Bora/mwema.
Ndo maana nasema nyie kaeni na vyeti vyenu si tunalisongesha,nina wapangaji wawili wanafanya kazi bank,wao ni degree holder lakini mshahara hauzidi laki 8,k ila siku vibomu,pay slip ina matundu kibao ila ukiwaona utadhani wanalipwa pesa ndefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.