Wewe echo sijui gecko, mbona una matusi hivyo!!! Au wewe demu??? Halafu tambua kwamba mwanaume yabidi awe na ndevu, mwanamke hatakiwi kuwa na ndevu na hata akiwa na ndevu kila mtu atamshangaa, sasa wewe unashangaa mwanaume kufiga ndevu? Utadonyolewa dogo.
Wakati mwingine upwiru unapozidi Kwa wanadamu inakuwa ni shida sana, unaweza kufanya jambo ambalo ukija kutafakari hadi unashangaa. Yesu siyo Mungu, Wala siyo mwana wa Mungu, yeye ni mjukbe tu wa mwenyezi Mungu, na ktk uislamu anaitwa Issa bin Maryam, Hana baba, alizaliwa Kwa uwezo wa mwenyezi...
Ac
Acha fikra potofu kijana, unatumia akili gani hadi kushindwa kutambua maisha yalivyo!!! Ok, umeishi ushuani kama unavyosema, kifo hakikupato??? Sawa, kaburi nalo litakuwa la kishua au??? Acha dharau, mbona mbagala watu wako vizuri tu kimaisha na kiuchumi, mambo ya kitoto usiyatumie ktk...
Na anayetaka heshima yako au uaminifu wako ni nani??? Hulazimishwi kumhwshimu mtu Kwa kigezo Cha imani yake au vinginevyo kwani malezi yanatofautiana. Pia naamini una chuki binafsi ambazo hazina faida Kwa kijana wa kiume kama wewe, labda kama siyo me.
Na mimi naweza kuamini hii post ya jamaa, hiyo ishu ya lucifer IPO ktk Qur'an pia kwani ktk masikunya mwisho ya dunia atatokea kiumbe kuja kupotosha binadamu aitwaye masihi dajjal ambaye na atakuja kupambana na nabii Issa (yesu) kwani nabii Issa ataleta mahubiri ya Mungu na masihi dajjal...
Kwani yeye mama Samia anakutaka wewe??? Una faida gani ktk nchi hii zaidi ya kujaza vyoo na kuongeza idadi ya nzi!!! Huna faida na uache kumsema mama. Kama hautaki jifie zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.