Recent content by Kiazi Kitamu

  1. K

    Makamu wa Rais Mpango aweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa barabara ya Mianzini - Olemringaringa - Ngaramtoni Juu na Olemringaringa - Sambasha - Timbolo

    Mwambie hajalipa fidia na Sasa wananchi wanatakiwa kubomoa pasipo fidia na wamekuja na Mkuu wa Wilaya na vitisho kuwa watu wakigoma mradi utahamishwa kwingine
  2. K

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango ulitudanganya au ulidanganywa?

    Nyumba nyingi mkuu Sasa wanataka watu wabomoe nyumba zao kupisha ujenzi na kuja kulipwa baadae. Sasa ukishabomoa unaamia wapi? Hela ya kubomoa unapata wapi? Yaani ni ujinga juu ya ujinga
  3. K

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango ulitudanganya au ulidanganywa?

    Mh Makamu wa Rais Dakta P. Mpango katikati ya mwezi Mei mwaka huu 2023 ulifanikiwa kuweka Jiwe la msingi ujenzi wa Barabara ya Mianzini to Ngaramtoni. Na kuahidi wananchi waliopitiwa na Barabara watalipwa fidia kwa mujibu wa Sheria za Nchi. Ila mpaka Sasa hawajalipwa ingawa makadirio ya gharama...
  4. K

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango ulitudanganya au ulidanganywa?

    Hii Ni nyingine inaanzia pale Mataa kwenda juuu kupitia Kinding'a, Mringaringa mpaka Ngaramtoni sokoni
  5. K

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango ulitudanganya au ulidanganywa?

    Mnamo tarehe 19.05.2023 Makamu wa Rais Dkt. Mpango uliweka Jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara kiwango cha lami Mianzini mpaka Ngaramtoni yenye urefu wa kilomita 18 Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha. Na kubwa ulituhaidi wananchi wa Kijiji cha Olemringaringa mpaka Ngaramtoni tutalipwa fidia...
  6. K

    Taasisi ya Credit Reference Bureau (CRB)

    Asalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji) Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:- 1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu. 2. Je...
  7. K

    Nitajuaje Kama Niko kwenye list Credit Reference Bureau Tanzania?

    Asalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji) Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:- 1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu. 2. Je...
  8. K

    Niulize chochote kuhusu biashara ya duka la rejareja

    Kazi kazi. Biashara hii Ina Siri kubwa. Inahitaji mbinu za kiintelejensia kupata Wateja
  9. K

    SportPesa: Yanga walituzunguka, usiku wakatangaza mdhamini mpya

    Tatizo la Yanga pale ni Engineer anatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Yeye ni Mkurugenzi wa Uwekezaji(GSM.kaajiriwa) wakati huo huo ni Rais wa Club. Na huyo Haiers ni partnership na GSM. Hapa Kuna mgongano mkubwa wa kimaslahi, na wanapoelekea GSM atainunua Yanga Moja kwa Moja kwa sababu...
  10. K

    Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

    Watafute pesa njee ya mishahara? Hizi dhana ndio zinazaa rushwa, ukiukwaji wa Sheria n.k. kuhisi kuwa Kila unapopata nafasi ya uteuzi ni Ulaji
  11. K

    Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

    Ya kilofa sanaaaa. Mimi nilifanikiwa fanya kazi Halmashauri zaidi ya miaka 9 ktk position Menejimenti. Yaani DED ni kazi isiyokuwa na ratiba always, isiyokuwa na bajeti, isiyo kuwa future. yaani stress Kila saa
  12. K

    Miliki duka kwa malengo

    Thank you sana umenipa mwanga
Back
Top Bottom