Iwapo eliona kimaro atachaguliwa kuwa askofu wa Dayosisi hii,naapa kuacha kuwa Muumini wa kanisa hili kubwa Duniani.
Jana malasusa Leo tena kimaro!
No way.
Sio kosa lao,ni Historia tu ya utumwa na ukoloni.
Mtu akikutawala always utamuona ni bora zaidi yako.
Mbaya zaidi hawa Watu weupe wanajua kwamba Watu weusi wanawagwaya,na wanacapitalize hasa kwenye huo udhaifu.
Dada zetu wamekubuhu unyonge kwa Watu weupe.
Mimi nikikutana nao huwa nawapa...
Choma moto msitu,nyoka na wadudu wote hatari watatoka wenyewe.
Mama apige kiberiti kwelikweli.
Bora waje hao waarabu,watalipa kodi na mirabaha stahiki.Kuliko kila mwaka hesabu za bandari hazieleweki,Watu wanaiba mpaka wanakufuru.Mizigo hailipiwi ushuru inapita tu,huo ni ufala.
Watu...
Wacha wee!
Mnang’ang’ania hayo Magofu hapo stone town eti kivutio cha Utalii? UNESCO wanawazuia kubadilisha Madhari ya Nchi yenu kwa Kigezo Cha historia?
Waoman waliwapa nini nyie?
Ukifika Zanzibar unakutana na Magofu ya waoman?
Leo mnataka kujifananisha na Qatar?
Hao wazungu wakija hapo...
Bado URUSI hajatangaza Vita lakini Tayari Zelensky keshaomba Msaada kila pande ya Dunia!
Leo watu Wamagharibi wanataka Sisi watu Weusi tuwaunge mkono kuinyanyasa URUSI!
Ulaya na Marekani wanaipa msaada Ukraine wa kila kitu ili kuidhibiti hii Operation ya kijeshi!
Lakini watu wanazidi kuikimbia...
Namfahamu kidogo huyu Mzee,ni mpole na asiye na makuu Tangu kitambo.
Hata voice tone yake haijabadilika.
Binti yake mkubwa anaitwa Elisia.
Enzi hizo Sinza kumepoa,siku hizi sinza kama Spain.
Ndio maana yake.
Huwezi kuwa na feelings za kutosha.
Huwezi kutoshelezwa kihisia na kingono na kabinti kama umezoea kuwazini hao kinamama.
Hawana tena cha kuogopa,kila kitu ameshafanya!
Kingine Ngono ina muunganiko wa kiroho,Mwanamke mwenye 55 yrs obviously amengonoka na kila design ya mikwaju...
Ni kwamba hakuna faida yoyote anayoipata kijana mdogo kulala na mwanamke anayeweza kumzaa.
Kwa kipindi kifupi unaweza kufurahia lakini majuto yake hayaishi.
Mbaya zaidi ni Uraibu mkubwa.
Hii tabia ni ngumu kuacha.
Kuna mambo unaweza kuyafanya ukiwa kijana mdogo na ukajiona uko sahihi...
Sitapenda Mtu yoyote wa kizazi changu akatae Shule.
Avute sigara au Bangi.
Anywe Pombe.
Akose utiifu kwa Wazazi,hasa Mama yake.
Alale na Wanawake watu wazima.
Nimechora mstari mwekundu kwa hayo.
Sitaki Wanangu warudie makosa yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.