Recent content by ki2c

  1. ki2c

    Zitto Kabwe acharuka CCM ku-"salenda" siasa kwa vyombo vya dola

    Serikali ya CCM imfanyie namna,jamaa anawasaidoaga sana kuonyesha kuna upinzani,ilhali hakuna. Wasikiuke makubaliano.
  2. ki2c

    Tanzania ifanye kitu kwa hawa panya road na Hawa wahamasisha vurugu ili hii tabia IFE

    Bilashaka na wao hawataki kutekwatekwa ndani ya nchi yao,wanataka katiba mpya,wanataka miili ya ndugu zao waliouawa kipindi cha vurugu,wanataka ajira,wanataka TUME HURU na mengineyo.Ukikaa nao ukiwauliza watakueleza.
  3. ki2c

    Tanzania ifanye kitu kwa hawa panya road na Hawa wahamasisha vurugu ili hii tabia IFE

    Wameiga askari magereza na polisi wanaoficha sura.
  4. ki2c

    Twaha Mwaipaya: Haya sio mabanda ya kuku. Ni nyumba za Jeshi La Polisi Central Dodoma

    Sijui wanajisikiaje wakiona hivi wanavyosemwa kuhusu uduni wa makazi?
  5. ki2c

    PostGE2025 Taasisi ya Mwalimu Nyerere yaandaa kongamano kuzungumzia Amani

    Kwani mara ngapi yanasemwa yanayotakiwa kufanyiwa kazi,hayafanyiwi? Ngoja wafanye kila wawezalo yawezekana wakafanikiwa.
  6. ki2c

    Mabaharia wenzangu wazoefu, ni kweli watoto wa Mbulu ni wazuri?

    Nikisomaga huu uzi,napata mzuka wa kwenda Manyara
  7. ki2c

    TAMISEMI yawataka watumishi kuripoti kazini saa 1:30 asubuhi

    Kuwahi nk jambo moja,wengine wanawahi halafu wanajiunga wifi kufuatilia umbea wa mitandaoni na wengine kufanya kazi źao binafsi za onlines. Nchi ina mambo ya ajabu sana.
  8. ki2c

    TAMISEMI yawataka watumishi kuripoti kazini saa 1:30 asubuhi

    Kuwahi nk jambo moja,wengine wanawahi halafu wanajiunga wifi kufuatilia umbea wa mitandaoni na wengine kufanya kazi źao binafsi za onlines. Nchi ina mambo ya ajabu sana.
  9. ki2c

    GODFREY MONYO (ITV): Serikali ina mpango gani kuwafidia walioharibiwa au kuibiwa Mali zào Oct 29?

    Mtu alihamasishwa AKATIKI,wakati anarudi akapigwa risasi ya kichwa au tako akafa,huonei hiyo nafsi huruma kweli?
  10. ki2c

    PostGE2025 Rais Samia: Tumeambiwa vijana walioingia barabarani kudai haki walilipwa fedha kwanza

    Watu wanaingizwa nchini,wanalipwa hadi wanaandana,serikali ilikua wapi? Mbaya zaidi maiti nyingine za waandamanaji zilienda kuzikwa,inakuaje wageni wanazikwa nchini?
  11. ki2c

    PostGE2025 Tundu Lissu: Hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji. Hakuna amani bila haki

    Kipi muhimu tuachane na akichoandika tujadili mwandiko eti?
  12. ki2c

    Ulipo wapo, Serikali ipo na mkono mrefu - Ukitaka siri fanya pekee yako (Kwenye Bar, Makanisani, Misikitini, Kokote wapo) Mange mkwanja tu anatoa siri

    Ulishaona Samia au waziri yeyote yupo mbele kuzuia maandamano? Viongozi wa serikali watoke waje barabarani na viongozi wa upinzani watoke na familia zao waje barabarani,uone kama inawezekana.Utabaki unawasikia akina Wanu na Mchengerwa kwenye teuzi.
Back
Top Bottom