Mhhhm uongozi mtamu nyie acheni.
Zitakuja sababu lukuki ilimradi kubariki matamanio ya walioshika mpini. Mwalimu aliona mbali sana kwa kukemea ili kuzuia pasitokee matabaka fulani kushika uongozi wa juu wa nchi, alijua nini kitatokea na ndo tunashuhudia yamebaki majuto tu hakuna wa kunyanyua...
Technology ndugu gari nyingi zenye engine kubwa zinatumia zaidi umeme,, mafuta yanatumiza zaidi wakati wa kuwasha. Nakubaliana kabisa na mtoa hoja hapo juu
Kweli mdau, waafrika hasa watanganyika tuna hii kasumba kuna watu wamejijengea wao ni wa kutembelewa tu, hii inatokea hasa mtu akiwa na uwezo wa kubadilisha mboga anajiona ni VIP yeye ni wa kutembelewa tu. Hii kwangu sioni kama ni ujamaa yaani ni utwana zaidi ya ujamaa tunaohubiri!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.