Recent content by khetewesa

  1. K

    Vitu vya kuzingatia unapoanzisha biashara ya kuku wa kienyeji

    nimejaribu kutafuta huo uzi nakwama, kuupata sijui njia gani huwa zinatumika....maana nimesearch ila napata vitu tofauti
  2. K

    Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

    si unajua ukiwa sub kwenye First eleven ya mpira, unakomaa kutafuta namba ndugu. unaweza pata namba kwenye kikosi cha kwanza ila ukaridhika, na ayo ndio mapenzi!!!
  3. K

    Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

    nimechuk Nimechukua hoja hizi mkuu, zimekaa vizuri sanaa
  4. K

    Vitu vya kuzingatia unapoanzisha biashara ya kuku wa kienyeji

    Habari Wataalam Nampango wa kuanzisha mradi wa kuku wa kienyeji hasa nikijikita kwa mazingira nilionayo. Ila nilitamani kufuga angalau kitaalamu, sio ili mradi nimewaweka tu nyumbani. Kwa wale ambao wamewahi kufuga hawa kuku kwa wingi, nini mahitaji ya msingi kabisa ninapoanzisha? Mfano...
  5. K

    Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

    kweli, wanaochezea wanawake wanaziba riziki hilo lipo wazi. Nishawahi kumwambia bint mmoja kuwa mtu ulonaye anakunyanyasa na anakupotezea muda, alifanya maamuzi yakuacha na mshikaji wangu ila mpaka leo ananishukuru sana. kapotezewa miaka minne ila hajajali hilo. Sijajua nikwakiwango gani ni mme...
  6. K

    Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

    Dada huwezi ona gap, kama gap halijajitokeza...umeona gap kwakuwa limejitokeza, likitokea naye ataliona ndipo atanikumbuka.
  7. K

    Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

    kaka, asante kwa meneno ambayo yamenipa nguvu kwa namna yakipekee sana......hasa hapa "now it's better to remain silent"
  8. K

    Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

    hofu yangu siku akija nipenda wakati huenda mtu wake hajamtimizia haja yake ya moyo na mm nishatoa ahadi kwa mtu mwingine, hilo huwa linanipa picha ngumu sana kwa mbeleni.
  9. K

    Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

    Sawa. Ila naugulia sana ndani ya moyo....
Back
Top Bottom