si unajua ukiwa sub kwenye First eleven ya mpira, unakomaa kutafuta namba ndugu. unaweza pata namba kwenye kikosi cha kwanza ila ukaridhika, na ayo ndio mapenzi!!!
Habari Wataalam
Nampango wa kuanzisha mradi wa kuku wa kienyeji hasa nikijikita kwa mazingira nilionayo. Ila nilitamani kufuga angalau kitaalamu, sio ili mradi nimewaweka tu nyumbani.
Kwa wale ambao wamewahi kufuga hawa kuku kwa wingi, nini mahitaji ya msingi kabisa ninapoanzisha? Mfano...
kweli, wanaochezea wanawake wanaziba riziki hilo lipo wazi. Nishawahi kumwambia bint mmoja kuwa mtu ulonaye anakunyanyasa na anakupotezea muda, alifanya maamuzi yakuacha na mshikaji wangu ila mpaka leo ananishukuru sana. kapotezewa miaka minne ila hajajali hilo. Sijajua nikwakiwango gani ni mme...
hofu yangu siku akija nipenda wakati huenda mtu wake hajamtimizia haja yake ya moyo na mm nishatoa ahadi kwa mtu mwingine, hilo huwa linanipa picha ngumu sana kwa mbeleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.