Garnacho ni Mudryk ambae tulietaka awe
Huyu dogo anakuja kuongeza kasi zaid kwenye mashambulizi yetu
Anakuja kuongeza goals/Assist
Atapunguza mashambulizi mengi kwa wapinzani atafanya muda mwingi wawe wanazuia kuliko kutushambulia
Naomba asajiliwe haraka. Conte kaliona hili ndio maana na...
Mwanzoni mwa League alikua anayafanya sub mapema kabisa half time tu anatoa mtu.
sasa hivi kawa mzito anachelewa mpka dakika ya 70
na sub nyingi sasa hivi anafanya hazina mashiko .
Mfano hizi mechi mbili za mwisho, sub zote alizofanya hazijamlipa zaid zimekuja kuua kabisa mashambulizi ya Team...
Kama ulitazama match vzuri wachezaji waliochoka Jackson hakuwemo
Enzo
Sancho
Neto
Hawa wote walichoka ila kocha amekariri sub lazima Nkunku aingie akimtoa Jackson
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.