Recent content by Kheri007

  1. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Huyu bi mkubwa ana kazi nzuri sana 🔥
  2. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Pengine, nilitegemea makubwa tofauti na kilicho wasilishwa. S1 na 2 ni mbingu na ardhi.
  3. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Dah Weak Hero wamezingua mbaya mbovu Season 2
  4. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Dah huu mzigo nimeusubiri kwa muda mrefu sana
  5. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Study Group imeisha bila kumuonyesha Uncle 😁
  6. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kaupiga mwingi humu kanikumbusha Legendary Kim Sabu
  7. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kwa wale tunaopenda Medical Drama hii The Trauma Code ni nzurii itupieni macho.
  8. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Dream High itabaki kua namba 1 upande wa Musical Drama.
  9. Kheri007

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Garnacho ni Mudryk ambae tulietaka awe Huyu dogo anakuja kuongeza kasi zaid kwenye mashambulizi yetu Anakuja kuongeza goals/Assist Atapunguza mashambulizi mengi kwa wapinzani atafanya muda mwingi wawe wanazuia kuliko kutushambulia Naomba asajiliwe haraka. Conte kaliona hili ndio maana na...
  10. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Ingia telegram kuna wajomba wanauza mafile unlimited kwa bei kitonga kabisa
  11. Kheri007

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Maresca anazinugua
  12. Kheri007

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mwanzoni mwa League alikua anayafanya sub mapema kabisa half time tu anatoa mtu. sasa hivi kawa mzito anachelewa mpka dakika ya 70 na sub nyingi sasa hivi anafanya hazina mashiko . Mfano hizi mechi mbili za mwisho, sub zote alizofanya hazijamlipa zaid zimekuja kuua kabisa mashambulizi ya Team...
  13. Kheri007

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kama ulitazama match vzuri wachezaji waliochoka Jackson hakuwemo Enzo Sancho Neto Hawa wote walichoka ila kocha amekariri sub lazima Nkunku aingie akimtoa Jackson
  14. Kheri007

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Maresca na Nkunku wake wanatuhujumu. Haiwezekani mchezaji mzembe vile unampanga kama namba 9
  15. Kheri007

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Drama ya Dunia imeachiwa leo mchawi bando lako tu
Back
Top Bottom