Recent content by khana

  1. K

    PostGE2025 TEC na Kanisa Katoliki mnasema Serikali hii ni haramu. Kwanini mnaendelea kuvuna mabillion ya fedha kila mwezi kutoka serikalini? Hiyo MoU ivunjwe

    Kwa hiyo nani aliyeijenga Bugando? Unajua ile contract walipewa kina nani? Usilolijua usilizungumze haya tuambie Bugando ilianza kujengwa lini na kwa nini mchoro wake hadi leo haukukamilika?
  2. K

    PostGE2025 TEC na Kanisa Katoliki mnasema Serikali hii ni haramu. Kwanini mnaendelea kuvuna mabillion ya fedha kila mwezi kutoka serikalini? Hiyo MoU ivunjwe

    Kwani wafanyabiashara wanalipa kodi kwa niaba ya jumuiya ya waislamu? Kuna mda ukinyamaza unaficha ujinga mkubwa. Tutaona mengi mwaka huu. Huo mda ungesoma juzuu kujisogeza karibu na Allah
  3. K

    Bado hamjasema. Vikao mnafanyia hemani?

    Unaijua white house ya CCM au ndo hivyo tena unakabia juu kama chawa unaijua ya US pekee
  4. K

    Bado hamjasema. Vikao mnafanyia hemani?

    Si wana white house Dodoma hao
  5. K

    Gen Z hawapoi wamesema kama demands zao hazitatimia D9 basi watakuja na J12

    Tang naona jina cocastic ulikuwa mpole siku zote
  6. K

    PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Nipo tayari kuhojiwa kuhusu tuhuma za Sheli za 'Lake Oil'. Wenye ushahidi waitwa

    Nani anakumbuka Meremeta Ltd mwaka 2005 mwishoni nadhani kwa msingi huo tutampata mmiliki. Kila la kheir wachunguzi
  7. K

    PostGE2025 Sheikh atishia kukabiliana na waandamanaji kwa kuwakata vichwa

    Gen Z hawana dini wala chama. Wakikutana na wewe ndugu yangu ukiwazuia usitufanye tuwaone wabaya watakushangaza. Inna'lillah....
  8. K

    Ma-architecture wengi wa bongo wanaringa

    Ukiona hivyo ana experience ya wateja wa online kufanya malipo ni wazinguaji sana kwenye kazi kama hizi. Mimi huwa sifanyi kazi online ila akitokea mteja wa online huwa namuelekeza tu atumie AI ni bure na rahisi kukuletea unachokitaka ujue kuiongoza tu. Vipi hiyo utalaum nayo!!
  9. K

    Ma-architecture wengi wa bongo wanaringa

    Mfano nenda ARDHI UNIVERSITY uone wanavyopata msoto hao watu. Namaanisha usiwashangae aidha kazi ni nyingi, wateja wengi wa simu huwa mnauliza tu kulinganisha na sio kufanya kazi kwahiyo huwa mnatupotezea mda. Lakini pia inabidi ukimtafta Architect uende straight usilete mipango yako kwake, toa...
  10. K

    Watafsiri na wabobezi wa ndoto naomba mniambie hii inamaanisha nini?

    Ndoto yako ni njema. Ni muongozo unaotakiwa kuufuata. Ndoto imekukumbusha maisha yako ya nyuma na namna ulivyokwepa viunzi kadhaa katika maisha yako kwa msaada usioutarajia. Mwisho ndoto inakukumbusha ni wakati sahihi kukumbuka malengo yako uliyowahi kuyafikiria na kwa wakati huu unaweza...
  11. K

    Wanawake: Unajisikiaje kila ukipata mwanaume anaeleweka, anakuwa tayari ana mtu wake

    Rudi kaburi namba 2 fanya ritual yoyote kufungua zile ahadi bado yupo na nafsi ake inalinda ahadi zenu. Ikiwezekana omba hata radhi kwa namna moja au nyingine pale hatma ilipoamua katikati ya safari yenu. Hatujui ni nini hujiri katika ulimwengu wa roho na hata huu wa macho tunaouona bado...
  12. K

    Nataka nijenge hostel kwa ajili ya wanafunzi wa chuo wakae bure miaka 2 ya masomo yao, mwaka 3 watalipia bei chee!

    Ni wazo zuri na unaweza kuwa na nia ya dhati kabisa kwa wahusika lakini jambo moja wapaswa kujua, mambo mengi katika nchi zetu za kiafrika kwa sasa hayaendi kwa kanuni za kijamaa na uungwana. Utarudi hapa utueleze baada ya miaka hiyo miwili ya wao kuishi bila malipo.
Back
Top Bottom