watanzania tunamatatizo mengi yanayotukabili, lakini tumeonekana zaidi tukiangalia Rais ameongea nini(sio watu wote) ili tumkosoe au tumpinge, nchi hii ikijengeka itajengwa na sisi wenyewe, Uchaguzi ulishaisha sasa ivi tujikite katika maendeleo jamani. sisi wote tulishiliki katika uchaguzi...