Recent content by KHALFANI 86

  1. KHALFANI 86

    CHATO tena Vita ya kibiashara na Muleba

    Umeongea kama inavyotakiwa iwe hakuna kupelekeshwa pelekeshwa hata kwa mambo yasiyowezekana
  2. KHALFANI 86

    CHATO tena Vita ya kibiashara na Muleba

    Kuna Soko liko Magarini ambalo liko Wilaya ya Muleba, sasa Chato wanalifanyia fugisu lifungwe lwa lengo la kutumia soko la Muganza ambayo iko chato . Huo ndio uporaji wenyewe na hali Wao hawana nguvu kubwa kama ilivyo Muleba
  3. KHALFANI 86

    CHATO tena Vita ya kibiashara na Muleba

    Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwa hiki kinachoendelea sasa ni unyanyasaji wa wazi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba. Hii kunyatia kulipora soko la Magarini kwa mazao ya Ziwani na kutaka soko hilo liende Muganza ni mabavu ambayo hayana maana kwa sasa. Sifa za kulipora soko hilo hakuna kwa...
  4. KHALFANI 86

    Mbunge aliyegawa barakoa zilizoisha muda wake

    Mbunge wa viti maalumu aliyegawa barakoa zilizoisha muda wake alishindwa vipi kuzifuatilia na kuzihakiki barakoa alizozigawa kama zina uhai wa kutumiwa mpaka kuzigawa kwa watu na hali zimeisha muda wake? Je kama zingelikuwa na madhara angeeleza nini? Muda mwingine tujifunze kuhakiki vitu kabla...
  5. KHALFANI 86

    Mwenyekiti CCM Muleba afurahishwa na umoja wa waliotia nia Ubunge, awataka mshikamano majimbo ya Muleba Kaskazini na Kusini

    MWENYEKITI WA CCM (W) MULEBA AFURAHISHWA NA UMOJA WA WALIOGOMBEA NAFASI YA UBUNGE AWAOMBA KUWAUNGA MKONO WAGOMBEA UBUNGE CCM WALIOTEULIWA NA CHAMA KATIKA MAJIMBO MAWILI YA MULEBA KASKAZINI NA KUSINI. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera *Mh.Athuman Kahara* leo...
  6. KHALFANI 86

    Mwigulu Nchemba anafuatilia changamoto za Jimbo lake kwa ukaribu mkubwa

    Utakuwa umeitumia haki yako kikatiba Sent using Jamii Forums mobile app
  7. KHALFANI 86

    Mwigulu Nchemba anafuatilia changamoto za Jimbo lake kwa ukaribu mkubwa

    Mawazo yangu na maoni yangu kwako ni njaa zangu ,basi kwa kuwa mawe hayo ni maoni yako sina budi kuendena nayo .ishi na hisia zako za kijinga Sent using Jamii Forums mobile app
  8. KHALFANI 86

    Mwigulu Nchemba anafuatilia changamoto za Jimbo lake kwa ukaribu mkubwa

    Haujaeleweka Sent using Jamii Forums mobile app
  9. KHALFANI 86

    Mwigulu Nchemba anafuatilia changamoto za Jimbo lake kwa ukaribu mkubwa

    Kifupi nimejaribu kuangalia kwa nini bado Ndugu MWIGULU LAMECK NCHEMBA ana mvuto kwenye jimbo la Iramba Magharibi tangu kuwapo mwaka 2010 hadi leo. Mheshimiwa MWIGULU anafuatilia changamoto za jimbo lake kwa ukaribu mkubwa kuliko wabunge wa majimbo mengine, ni Mbunge ambae anatambua yupo...
  10. KHALFANI 86

    Mkutano wa SADC sekta ya Sheria

    Wazira wa katiba na Sheria akiwa kwenye uwakilishi wake ndani ya majukumu yake. Watanzania tunajivunia kuwa na jemedari wetu na shukrani za dhati zimuendee mheshimiwa Raisi John Magufuli kwa kulitupa jicho lake kwa Mwingulu hii ni kwa manufaa ya Taifa letu
  11. KHALFANI 86

    Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Rais wetu ni Magufuli, waambieni waliowatuma enyi wenye tamaa ya Madaraka

    Umeongea kila kitu haswaaa.kwa kifupi wapo watu wachache huenda matamanio yao ni kuona vurugu nchini mwetu, la msingi wafahamishwe kuwa Watanzania hatuongozwi na maneno ya kuunga unga tuna Kiongozi imara na shupa yupo makini kutuvusha.
  12. KHALFANI 86

    Uimara wa CCM

    Wakati unawaza kuisoma CCM kwenye vyombo kama msemo wako unatakiwa utafakari kuna chama gani chenye dira ya kweli ambacho kipo tayari kuwa mrithi wa CCM? Hapo ndipo utabaini ya kuwa CCM inaimarika kwa madhaifu ya wapinzani wake
  13. KHALFANI 86

    Uimara wa CCM

    Kwa haraka haraka ukiangalia vyama vya upinzani vinakwama wapi utawaangushia lawa viongozi wa vyama vyao ,hii sio sahihi kabisa udhaifu unaoendelea kupatikana kwenye vyama hivyo unatokana na wanachama wenyewe wa vyama husika. Leo hii unawaza kuhusu kutokea chama kingine kikubwa cha upinzani...
  14. KHALFANI 86

    Rais John Magufuli tutamlipa nini?

    MH.RAISI JOHN MAGUFULI TUTAMLIPA NINI[emoji844] Hili ni swali ambalo tunaweza kuyapata majibu yake ikiwa tutajituliza na kuipata tafakuli sahihi. Hakuna Mtanzania ambae hajaiona kazi ya Mh.Raisi toka mwaka 2015. Amejitoa kwa hali na mali kuhakikisha Tanzania inabadilika katika kila eneo lake...
Back
Top Bottom