KHALFANI 86
Member
- May 16, 2020
- 14
- 24
Mbunge wa viti maalumu aliyegawa barakoa zilizoisha muda wake alishindwa vipi kuzifuatilia na kuzihakiki barakoa alizozigawa kama zina uhai wa kutumiwa mpaka kuzigawa kwa watu na hali zimeisha muda wake? Je kama zingelikuwa na madhara angeeleza nini? Muda mwingine tujifunze kuhakiki vitu kabla ya kuvitumia