KHALFANI 86
Member
- May 16, 2020
- 14
- 24
Kifupi nimejaribu kuangalia kwa nini bado Ndugu MWIGULU LAMECK NCHEMBA ana mvuto kwenye jimbo la Iramba Magharibi tangu kuwapo mwaka 2010 hadi leo.
Mheshimiwa MWIGULU anafuatilia changamoto za jimbo lake kwa ukaribu mkubwa kuliko wabunge wa majimbo mengine, ni Mbunge ambae anatambua yupo Bungeni kwa ajili ya wana IRAMBA kwanza na mengine yanamkutia huko.
Amebahatika kuwa kwenye wizara mbali mbali lakini hiyo haimsahaulishi kuhusu ufuatiliaji wa miradi ya jimboni kwake.
Na mheshimiwa Waziri MWIGULU anajua yupo Bungeni kwa udhamini wa chama gani hivyo humpelekea kuwa karibu na Viongozi wa chama chake katika kushiriki kujenga chama kuanzia shina ,tawi,kata,Wilaya,mkoa na Taifa.
Kwa namna hiyo ya namna ambavyo anatambua waajiri wake ndio maana linapotokea swala la kuomba ridhaa huwa anashinda wapinzani wake kwa ushindi uliomkubwa zaidi.
Mnamo mwaka 2015 alishinda ushindi wa asilimia kubwa mno mbele ya mpinzani wake KILIMBA aliyepata kura 92 na mwenzake JAIRO aliyepata kura 51 wakati huo MWIGULU aliwashinda kwa kujikusanyia kura 1,826 .
Ushindi huo ulikuwa mkubwa mno ambapo leo tena 2020 haiwi maajabu kuona anashinda kwa ushindi ule ule wa kujinyakulia kura 617 ambapo mwenzake alijizolea kura 14 tu.
Hayo ni majibu ya ukaribu na waajiri wake ambao ndio wapiga kura wake. Kwa aina hii ya namna anavyolihudumia jimbo la Iramba Magharibi atakaa hadi aombe kupumzika mwenyewe.
Mheshimiwa MWIGULU anafuatilia changamoto za jimbo lake kwa ukaribu mkubwa kuliko wabunge wa majimbo mengine, ni Mbunge ambae anatambua yupo Bungeni kwa ajili ya wana IRAMBA kwanza na mengine yanamkutia huko.
Amebahatika kuwa kwenye wizara mbali mbali lakini hiyo haimsahaulishi kuhusu ufuatiliaji wa miradi ya jimboni kwake.
Na mheshimiwa Waziri MWIGULU anajua yupo Bungeni kwa udhamini wa chama gani hivyo humpelekea kuwa karibu na Viongozi wa chama chake katika kushiriki kujenga chama kuanzia shina ,tawi,kata,Wilaya,mkoa na Taifa.
Kwa namna hiyo ya namna ambavyo anatambua waajiri wake ndio maana linapotokea swala la kuomba ridhaa huwa anashinda wapinzani wake kwa ushindi uliomkubwa zaidi.
Mnamo mwaka 2015 alishinda ushindi wa asilimia kubwa mno mbele ya mpinzani wake KILIMBA aliyepata kura 92 na mwenzake JAIRO aliyepata kura 51 wakati huo MWIGULU aliwashinda kwa kujikusanyia kura 1,826 .
Ushindi huo ulikuwa mkubwa mno ambapo leo tena 2020 haiwi maajabu kuona anashinda kwa ushindi ule ule wa kujinyakulia kura 617 ambapo mwenzake alijizolea kura 14 tu.
Hayo ni majibu ya ukaribu na waajiri wake ambao ndio wapiga kura wake. Kwa aina hii ya namna anavyolihudumia jimbo la Iramba Magharibi atakaa hadi aombe kupumzika mwenyewe.